Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
kweli huko maisha ni bwerere,hata hao kina dada wanaonesha wana afya nzuri na wanavutia!yaani mkungu wa ndizi buku!
Dabo rodi ya Sumbawanga, no lami no taa, yaani.. we acha tu
Roundi abouti ya mzunguko ya mpanda mjini, Rukwa
Katavi Neshno Paki, Mpanda, Mkoa wa Rukwa
Matema Beach hapa, Ufukweni mwa lake Nyassa
Hapa mkungu wa ndizi buku jero tu umekula!!
Pole yenu mnaong'ang'ania Bongo kwenye kero kibao kama foleni, joto kali, maisha ghali n.k
Mwakaribishwa huku kwetu nyanda za juu kusini hewa safi, chakula bwerere na maziwa ya kuoga....
ARV kwenye kitimoto si ni MBEYA huko huko.......???Uzuri wa kusini unakula vitu natural kama kuku basi unakula wa kienyeji hawajawekwa hata ARV yaani mambo mswano, nyama ,samaki bei chee pelege kwa kambare unajichana mambo ya mpunga wa Kyela dah ukipikwa mpaka mtaa wa 3 wanasikilizia harufu ya ubwabwa yaani mpaka raha.
Nipo mlongo.............. masuku = mwanamonga-mwengemshindo-luwawasi, dagaa nyasa, mbasa na mbelele = njambe, fokulendi, Lituhi; viazi jeshi a.k.a makaba................yaani we acha tuu............... sasa mbalaghaa = Tukuyu; mafyurisi = karibu mbeya yoooteee. Kuna ULELEMA, NGUYUGU a.k.a UYOGAhaa kweli si utani unanikumbusha mambo ya dagaa nyasa, wale samaki watamu kupindukia mbasa na mbelele mkuu ngalikihinja upo? haha ni raha tupu, ukija msimu wa maembe, masuku, madonga, viazi jeshi, kitumbo ndiiii
mkuu hayo maharage majani yake yanapikwa mboga inaitwa ngun"yani,mkuu hiyo mboga ipikwe na mama wa kinyakyusa iwekwe karanga ,unaweza kuondoka ugali kilo mbili bila matatizo jinsi ilivyo nyafuKilimo cha Wananchi Sisi
Haya ni mahindi yakiwa yamekwisha komaa tayari.
Maharage yakiwa shambani. Mara nyingi hulimwa kwa awamu mbili kwa mwaka.
Nipo mlongo.............. masuku = mwanamonga-mwengemshindo-luwawasi, dagaa nyasa, mbasa na mbelele = njambe, fokulendi, Lituhi; viazi jeshi a.k.a makaba................yaani we acha tuu............... sasa mbalaghaa = Tukuyu; mafyurisi = karibu mbeya yoooteee. Kuna ULELEMA, NGUYUGU a.k.a UYOGA
SASA KUNA SIKU NILIFANANISHA MADONGA NA MANGURUNGUNDA..........
Mkuu nimecheka mpaka machozi yamenitoka hapo kwenye makaba, ulelema, nguyugu bila kusaha ngohani zote sampuli za uyoga, kuna mapwete yale km matango yana mibamiba, mangatungu, kubwa ya yote mboga ya manyonyoli, inaitwa namgujulu. kule sumbawanga kuna chikande nyama isiyo na damu, nswa aka kumbikumbi, nyanya mpwipwi na nyanya mpoli, migagi aka mabua ya mahindi yakiwa mabichi yanaliwa km miwa hahaaaa