comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,952
Duuh yani hapo kibamia hakina nafasi kinapwelepweta tuMaku ni cm 30
Duuh yani hapo kibamia hakina nafasi kinapwelepweta tuMaku ni cm 30
tupe ukweli wako nasi tujifunze unalolijua ndio uzalendonamba 6 ni uongo
umeandika kwa mbwembwe hadi rahaaaa.1. Kuhusu kidevu naomba fafanua, mana nijuavyo beberu nae ana kidevu!
2. Tembo pamoja na uzito wake, ni ajabu anapotembea hauwezi kuskia mlio wa sauti za miguu yake!
3. Tembo dume milele hawezi kupanda na kumbandua mama ake, sio kama kuku ama Mbwa!
4. Tembo dume akishapiga bao (Lita 5-8) hapigi tena mpk baada ya miezi 6+
5. Mtoto wa Tembo anaacha kunyonya mara tu anapoota meno (tusks) reason behind, endapo atanyonya kipindi hiki, humuumiza mamake kwa pembe zake!
6. Tumekariri kuwa Maji ni tastaless and smell less. Tembo anapata harufu ya Maji yakiwa umbali wa maili 2. Na cha kufurahisha anajua mpaka direction ya Maji hayo!
7. Tembo ndio mnyama pekee, anakunywa Maji kwa kuyapitisha puani kwanza, then yanaelekea mdomoni.
8. Tembo ana ajabu lingine. Ana uwezo wa kudindisha Saa 4 asubuhi huku akitarajia kuja kubandua Saa 11 jioni. Hujaelewa. Tembo ana uwezo wa kudindisha DSM leaders club na akaenda kumgonga Tembo jike alieko Morogoro ama Tanga!
Fungal kazi:
Tembo anapokufa wenzake wanajua. Acha hiyo. Tembo anapokufa wenzake huomboleza, huumia. Tembo hujikusanya na kutafuta namna ya kumsitiri Mwenzao. Tembo huusukuma mwili wa marehemu mpk pahala wanaona panafaa, mara nyingi vichakani ama kama wakibahatisha shimo, humuacha hapo!
Kama unajisifu na vigoli vyako vi3 hata kikombe cha kahawa havijai, kidume Tembo anajaza gallon 1!
Itakua walikua wanaomboleza msiba wa mwenzao.Mkuu niliwahi kuona tembo ile njia ya Iringa Morogoro yaani Mikumi pale kwenye jicho wote kama wanatoka machozi yaani machozi chini ya sikio tafsiri yake ni nn pale kwann wote kwa pamoja walikua vile???
mkuu utakuwa una UDUMWI weweNimependa zaidi maelezo yako ya mwisho mwisho,teh[emoji41] .....yote kwa yote ahsante mkuu.
#akilizausikuwamanane#
Daaa masaa 12 ,,,wanawake wanahitaji tembo sasa ili malalamiko yaishe
utaweza kuhimili lita 5 za sperm lakiniDaaa masaa 12 ,,,wanawake wanahitaji tembo sasa ili malalamiko yaishe
Itakua walikua wanaomboleza msiba wa mwenzao.
Kama unamuonea wivu vile jike anafaidi[emoji23][emoji23]Nimependa zaidi maelezo yako ya mwisho mwisho,teh[emoji41] .....yote kwa yote ahsante mkuu.
#akilizausikuwamanane#
1. Kuhusu kidevu naomba fafanua, mana nijuavyo beberu nae ana kidevu!
2. Tembo pamoja na uzito wake, ni ajabu anapotembea hauwezi kuskia mlio wa sauti za miguu yake!
3. Tembo dume milele hawezi kupanda na kumbandua mama ake, sio kama kuku ama Mbwa!
4. Tembo dume akishapiga bao (Lita 5-8) hapigi tena mpk baada ya miezi 6+
5. Mtoto wa Tembo anaacha kunyonya mara tu anapoota meno (tusks) reason behind, endapo atanyonya kipindi hiki, humuumiza mamake kwa pembe zake!
6. Tumekariri kuwa Maji ni tastaless and smell less. Tembo anapata harufu ya Maji yakiwa umbali wa maili 2. Na cha kufurahisha anajua mpaka direction ya Maji hayo!
7. Tembo ndio mnyama pekee, anakunywa Maji kwa kuyapitisha puani kwanza, then yanaelekea mdomoni.
8. Tembo ana ajabu lingine. Ana uwezo wa kudindisha Saa 4 asubuhi huku akitarajia kuja kubandua Saa 11 jioni. Hujaelewa. Tembo ana uwezo wa kudindisha DSM leaders club na akaenda kumgonga Tembo jike alieko Morogoro ama Tanga!
Fungal kazi:
Tembo anapokufa wenzake wanajua. Acha hiyo. Tembo anapokufa wenzake huomboleza, huumia. Tembo hujikusanya na kutafuta namna ya kumsitiri Mwenzao. Tembo huusukuma mwili wa marehemu mpk pahala wanaona panafaa, mara nyingi vichakani ama kama wakibahatisha shimo, humuacha hapo!
Kama unajisifu na vigoli vyako vi3 hata kikombe cha kahawa havijai, kidume Tembo anajaza gallon 1!