Fahamu vitu 15 kuhusu mnyama tembo

Fahamu vitu 15 kuhusu mnyama tembo

Hivi Nyuki anajua kuwa Tembo ni Mnyonge wake?

Na kwa kuongezea ni kuwa hata pilipili ni mtihani kwa tembo, anazigwaya balaa.
 
Tembo ana ajabu lingine. Ana uwezo wa kudindisha Saa 4 asubuhi huku akitarajia kuja kubandua Saa 11 jioni. Hujaelewa. Tembo ana uwezo wa kudindisha DSM leaders club na akaenda kumgonga Tembo jike alieko Morogoro ama Tanga!
 
1. Kuhusu kidevu naomba fafanua, mana nijuavyo beberu nae ana kidevu!

2. Tembo pamoja na uzito wake, ni ajabu anapotembea hauwezi kuskia mlio wa sauti za miguu yake!

3. Tembo dume milele hawezi kupanda na kumbandua mama ake, sio kama kuku ama Mbwa!

4. Tembo dume akishapiga bao (Lita 5-8) hapigi tena mpk baada ya miezi 6+

5. Mtoto wa Tembo anaacha kunyonya mara tu anapoota meno (tusks) reason behind, endapo atanyonya kipindi hiki, humuumiza mamake kwa pembe zake!

6. Tumekariri kuwa Maji ni tastaless and smell less. Tembo anapata harufu ya Maji yakiwa umbali wa maili 2. Na cha kufurahisha anajua mpaka direction ya Maji hayo!

7. Tembo ndio mnyama pekee, anakunywa Maji kwa kuyapitisha puani kwanza, then yanaelekea mdomoni.

8. Tembo ana ajabu lingine. Ana uwezo wa kudindisha Saa 4 asubuhi huku akitarajia kuja kubandua Saa 11 jioni. Hujaelewa. Tembo ana uwezo wa kudindisha DSM leaders club na akaenda kumgonga Tembo jike alieko Morogoro ama Tanga!

Fungal kazi:
Tembo anapokufa wenzake wanajua. Acha hiyo. Tembo anapokufa wenzake huomboleza, huumia. Tembo hujikusanya na kutafuta namna ya kumsitiri Mwenzao. Tembo huusukuma mwili wa marehemu mpk pahala wanaona panafaa, mara nyingi vichakani ama kama wakibahatisha shimo, humuacha hapo!

Kama unajisifu na vigoli vyako vi3 hata kikombe cha kahawa havijai, kidume Tembo anajaza gallon 1!
Ha ha ha mkuu ila hapo namba 8 nimependezewa sana
 
Tena ni kwamba Tembo wakati anakimbia hukimbia hadi speed 90 kwa sasa ukilinganisha na vyombo ya usafiri na wakati anatoka mlima kwenda bondeni masikio yake huinamia mbele na kusababisha asione vizuri ivyo umlazimu kukimbia kiupande kama mabasi ya mkoa,
Pia tembo hanaga handbreak kama treni ni rahisi kumkwepa kama ukimwona anapotokea
 
Tena ni kwamba Tembo wakati anakimbia hukimbia hadi speed 90 kwa sasa ukilinganisha na vyombo ya usafiri na wakati anatoka mlima kwenda bondeni masikio yake huinamia mbele na kusababisha asione vizuri ivyo umlazimu kukimbia kiupande kama mabasi ya mkoa,
Pia tembo hanaga handbreak kama treni ni rahisi kumkwepa kama ukimwona anapotokea
speed 90 per hour
 
Imekuwa kama picha ya kihindi,mwishoni ndo inanoga.
 
Mkuu niliwahi kuona tembo ile njia ya Iringa Morogoro yaani Mikumi pale kwenye jicho wote kama wanatoka machozi yaani machozi chini ya sikio tafsiri yake ni nn pale kwann wote kwa pamoja walikua vile???
Hizo ni tezi ambazo humsaidia kumark anga lake/anakopita kumbuka tembo hana territories km wanyama wengine yeye humiliki eneo kubwa ambalo huitwa home range ambalo hutumia Ute/tezi(sweet grands)kumark home range
 
leo naomba niwape 2 za mnyama Tembo! Kwa ujazo... Ubongo wa Tembo ni mara 3-4 ya ule wa binadamu! Japo kiuhalisia ujazo wa ubongo wa Tembo hauendani na ukubwa wa Mwili wake!

kama ilivo kwa binadamu... Kuna wale LEFTIES na wale wenzangu na Mimi RIGHTIES! Tembo nao wapo lefties na righties na ili kuwajua angalia zile Pembe zao! Always 1 huwa fupi na nyingine ndefu! Km ya kushoto ni fupi huyo ni lefties coz hiyo Pembe imetumika zaidi ya ile ya kulia!
 
Ni kweli mwili wa tembo una aina zote za wanyama? Yaani kuna sehemu ina ladha ya kuku, ng"ombe, kondoo nk
 
Back
Top Bottom