wewe wanawake huwajui wife vile nakutana nae hakuwa anaweza kumaliza soda moja baada ya kumuoa na kukaa miaka kuna saa namuuliza umekunywa soda ngapi leo anakwambia tatu namuuliza wewe mama nanii ukiwa bint mbona ulikuwa huwez maliza moja ?

hizi sifa sijui kama utaweza kuzipata kwa binti wa kibongo1. MWEYE MAPENZI YA KWELI
2. MWENYE TABIA NZURI
3. MWENYE UCHU NA MAENDELEO
4. ASIYEPENDA MAKUU
5. MVUMILIVU
!
wewe wanawake huwajui wife vile nakutana nae hakuwa anaweza kumaliza soda moja baada ya kumuoa na kukaa miaka kuna saa namuuliza umekunywa soda ngapi leo anakwambia tatu namuuliza wewe mama nanii ukiwa bint mbona ulikuwa huwez maliza moja ?




wenye shepu nzuri ni wakugegeda na kuachwa,sababu ukimweka tu ndani lazima ule na majiraniShape nzuri mbona hujaweka?