Fahamu maeneo ya raha ya mwenza wako

papag

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
1,137
1,608
Wakuu wazima?
Unajilinda au unachapa kazi ?
Wengi kwenye ndoa au mahusiano huwa wanashindwa kujua au kufahamu maeneo gani akimshika au kumchezea mwenzie hupata raha sana na kufanya mchezo mzima kuwa wa furaha kwa pande zote mbili.
Siku zote mkiridhishana vizuri kabisa kabisa ndoa au mahusiano huwa kwa asilimia kubwa yanadumu.
Nawasilisha niko tayari kukosolewa kwa huu ufahamu wangu so far.
Stay blessed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wa kuomba picha msimsumbue mweka mada namaliza namna hii.. na hii ni kwa hisani ya watu wa marekani 😅
537175.jpg
 
Wakuu wazima?
Unajilinda au unachapa kazi ?
Wengi kwenye ndoa au mahusiano huwa wanashindwa kujua au kufahamu maeneo gani akimshika au kumchezea mwenzie hupata raha sana na kufanya mchezo mzima kuwa wa furaha kwa pande zote mbili.
Siku zote mkiridhishana vizuri kabisa kabisa ndoa au mahusiano huwa kwa asilimia kubwa yanadumu.
Nawasilisha niko tayari kukosolewa kwa huu ufahamu wangu so far.
Stay blessed

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi tayari au bado utaendelea kwenye post zijazo?
 
Umeongea UONGO 90 %
KWELI 10 %
...........
Mambo ya mahusiano ni bahati nasibu tu

TAFUTA MTU YOYOTE UMLAUMU...!
 
Kuna siku nikiwa skul boarding nilivuta bangi nikaanza kuwafundisha watu vitu ambavyo hata mm sivijui naona na ww umefata nyayo zangu mkuu

Sent using Gun Trigger
 
Moja.
Kumcha Mungu na kumwogopa.
Pili. Kutii Amri zote za Mungu.
3. Uwajibikaji kila idara
4. Kujali.
5. Epuka siasa kwenye mapenzi.
6. Jua kuandaa na kuboresha na kunogesha lengo.
7. Kuwa na malengo mazuri maishani.
8. Nguvu ya pesa utakusaidia sana.
9.Tumia muda mrefu kuwa pamoja na kupanga na familia/mwenzi.
10. Chagua mwenzi sahihi sio kukurupuka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom