Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Obviously hujui siasa za upinzani wala hujui usemalo usemalo. Katika siasa kuna kupanda na kushuka na kamwe hakuna rafiki wa kuduma wala adui wa kudumu, kuna maslahi ya kudumu tu.Uenda Makada wa Chadema wanateseka ziadi ya makada wa CCM..! Kazi kwenu kugombania Ruzuku na kugombania kambi rasmi ya upinzani Bungeni CCM wala hawana presha na ACT