mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Angalau wewe mtazamo wako una mwelekeo wa ukweli kuwa chama cha siasa kitakacho athirika ni CHADEMA. Kwa upande mmoja CHADEMA imepoteza nguvu ya kisiasa ya Lowassa, Tanzania Bara, na kwa upande mwingine CHADEMA imepoteza nguvu ya kisiasa ya Seif, Zanzibar.Ccm inadhani kuiua chadema ndio kuua upinzani sasa wameongeza adui mwingine mwenye nguvu ACT itabidi wajipange upya zile siasa za figisu zinamwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya chaguzi za kitaifa zijazo, CHADEMA hakitakuwa chama kikuu cha upinzani tena. Ila matokeo yake CCM imejijenga zaidi kisiasa Tanzania Bara na Visiwani, ikizingatiwa jinsi Rais Magifuli alivyofanikiwa kuendesha siasa za kuwalenga wanyonge kwa vitendo badala ya siasa za majukwaani.
Sent using Jamii Forums mobile app