Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,274
- 5,893
Hakuna lockdown sababu maambukizi yaliisha baada ya kupiga lockdown kali mwaka jana.Kwa sasa Italy kuna lockdown au imeondolewa?
Hakuna lockdown sababu maambukizi yaliisha baada ya kupiga lockdown kali mwaka jana.Kwa sasa Italy kuna lockdown au imeondolewa?
Unasema Italy maambukizi yaliisha, unamaanisha hakuna watu wenye Corona nchini Italy au ni kwamba Corona ipo ila tu haiambukizi?Hakuna lockdown sababu maambukizi yaliisha baada ya kupiga lockdown kali mwaka jana.