gstar
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 759
- 1,250
Limbwata ni dawa ya kumpumbaza mwanamke au mwanaume.
Hufanywa na mwanamke kwenda kwa mwanaume au mwanaume kwenda kwa mwanamke.
Wazigua wanayo dawa ya limbwata ambayo ni mzizi mdogo sana hupatikana huko milima ya Usambara.
Matumizi
Chukua ule mzizi wa limbwata weka kwenye sehemu za siri kwa masaa 12 tu kama ni mwanamke weka kwenye uke wako ukibana na Ch**pi kwa mwanaume weka katikati ya bilinganya zako, ukienda chooni waweza toa na kuendelea kuweka.
Kutega limbwata
Saga ule mzizi kidogo changanya kwenye chai ama chakula chochote anachotumia mpenzi wako.
Mwanaume unaweza kumpelekea mpenzi wako zawadi yoyote ya kula mfano sukari uchanganye kidogo na unga wa ule mzizi.
Faida za limbwata
Mwanamke hato kuacha au kama alikuacha basi atakutafuta mrudiane.
Mwanaume atakuwa anakubaliana na chochote utakacho muambia, pamoja na kukutimizia mahitaji yako yote ya kifedha.
Hufanywa na mwanamke kwenda kwa mwanaume au mwanaume kwenda kwa mwanamke.
Wazigua wanayo dawa ya limbwata ambayo ni mzizi mdogo sana hupatikana huko milima ya Usambara.
Matumizi
Chukua ule mzizi wa limbwata weka kwenye sehemu za siri kwa masaa 12 tu kama ni mwanamke weka kwenye uke wako ukibana na Ch**pi kwa mwanaume weka katikati ya bilinganya zako, ukienda chooni waweza toa na kuendelea kuweka.
Kutega limbwata
Saga ule mzizi kidogo changanya kwenye chai ama chakula chochote anachotumia mpenzi wako.
Mwanaume unaweza kumpelekea mpenzi wako zawadi yoyote ya kula mfano sukari uchanganye kidogo na unga wa ule mzizi.
Faida za limbwata
Mwanamke hato kuacha au kama alikuacha basi atakutafuta mrudiane.
Mwanaume atakuwa anakubaliana na chochote utakacho muambia, pamoja na kukutimizia mahitaji yako yote ya kifedha.