Gasper mapile
Senior Member
- Jun 30, 2013
- 195
- 88
Ndio mzee ni matundastrawberry zinaliwa?
Ndio mzee ni matundastrawberry zinaliwa?
Mikoa inayositawisha vizuri strawberry ni Iringa na Morogoro,lakini unaweza kufanya utafit hata hapo ulipo,maana inastawi vizuri kwenye maeneo ya mwinuko,1500m
Soko kubwa sana lipo Kenya,lakini hata hapa Tanzania bado strawberry inalipa,ni miezi 2 tu tangu uanze kuandaa utakuwa umeanza kuvuna,siwadanganyi,unaweza kujifunza zaidi kuihusu
Bei ya strawberry inategemea na soko,ila bei ya kufikia kwa soko la dar na arusha,kilo ni elf 30-50
Mkuu unafanya hz ishu, nataka nifanye kwa huku morogoroHii 30-50 ni pesa ya Zimbabwe au Tanzania?
Kama ni Tanzania sijawah kuuza zaid ya 20,000/=
Mkuu naomba unipe maelezo namna kilimo cha strawberry kinavyofanyika, please.Hii 30-50 ni pesa ya Zimbabwe au Tanzania?
Kama ni Tanzania sijawah kuuza zaid ya 20,000/=
Mkuu unafanya hz ishu, nataka nifanye kwa huku morogoro
Nimekutxt mkuu maana ntahtaji kujua zaidi, maana ukiona watu wanasifia hapa unaweza kuingia kichwa kichwaNi text nikupe namba ya mtu huko Morogoro +255766523231
Nimekutxt mkuu maana ntahtaji kujua zaidi, maana ukiona watu wanasifia hapa unaweza kuingia kichwa kichwa
Mkuu asanteSiyo rahis kama wanavyofikiri mkuu...ni kasafar kafupi kwa wavulivu na walioamua hawaoni tabu...
Habari mkuu naomba hiyo link ya kujiunga na kilimo groupFollow this link to join KILIMO FORUM WhatsApp group: WhatsApp Group Invite FORUM
Umeniwahi tu mkuu, mi mwenyewe nilitaka niseme hivyo kwamba haya matunda kwa kule kwetu tunayaona kama matunda pori. Tena kwa kule kwetu yapo kama rangi kama tatu hivi. Mimi mwenyewe kwa kuwa ni matunda niyapendayo nilikuwa nawaza kwenda kuyaotesha kwa majaribio.Kuna maeneo kule kwetu haya matunda yanaota msituni na hayana mwenyewe. Yuko mchungaji mmoja pale Uwanji Makete alikuwa akiotesha bustanini kwake. Ngoja nitafute simu yake nimuulize kama angali na ile bustani.
Nimekula sana haya matunda iringa kule yanajiotea tuuuUmeniwahi tu mkuu, mi mwenyewe nilitaka niseme hivyo kwamba haya matunda kwa kule kwetu tunayaona kama matunda pori. Tena kwa kule kwetu yapo kama rangi kama tatu hivi. Mimi mwenyewe kwa kuwa ni matunda niyapendayo nilikuwa nawaza kwenda kuyaotesha kwa majaribio.
Kweli mkuu, mi mpaka mwaka huu nimeyaonja.Nimekula sana haya matunda iringa kule yanajiotea tuuu