Kwa faida yangu na kwa faida ya wengi kwanini uistuoe A na B za hii biashara uko Tanga sehem gani ama wilaya gani je wanauza sh ngap ngap kwa kilo na vitu kama ivyo pia usisahau kuhusu ubora wake na mambo mengine bossIliki inapatkana Sana tanga but ishu uwe namtaji mkubwa machimbo yapo mengi tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba fanya assist kidogo.Nilifanyaga research ya iliki siyo kulima ila ni wapi zinapatikana kwa wingi kwa bahati nilienda sehemu za lutindi,tanga huko nlizunguka vijiji kama 5 kieti,tamota,masangi,nguru,bungu kote huko nlikutana n'a zao la iliki na huko kg1 wanauza 14000 mpaka 16000 n'a kwa dar huku wanauza 25000 mpaka 26000 kwa kg wakomoro wananuua juu kidogo ya hapo......soon ntarudi tena huko kwa ajili ya kununua na kuwa supply watu wangu
Morogoro pia ipo sehemu fulani fulani ila iliki ya tanga wanasema ni the best hata iliki ya india haifikii
Soon nabadilisha tena gia angani mtamuona mrangi kwenye biashara ya mazao maana jiwe lishabuma mh kabana
Ila kwa wabishi kama sisi hata ukibana huku sisi tunapiga kule
OVA
Mwezi wa Sita na sabaMwamba fanya assist kidogo.
Naomba kujua miezi gani ndiyo wanavuna na kuuza iliki huko Tanga na Morogoro?
Pamoja mwamba, tuombeane uzima tuvuke salama haya magonjwa ya upumuaji siyo poa kabisa.Mwezi wa Sita na saba
Sahv mambo bado magumu
Ntakpa connection mpk jikoni tu
Usijali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
shangazi tutajie mbegu yake na jinsi inavyopandwa, changamoto, umri wa kuvunwa toka kupanda, nk.Wana panda na migomba kuleta kivuli shambani
shangazi tutajie mbegu yake na jinsi inavyopandwa, changamoto, umri wa kuvunwa toka kupanda, nk.
tendea haki jukwaa. umeeleza kana kwamba unawaelezea wakulima
Sent using Jamii Forums mobile app
Ozesha udongo na mbolea kutengeneza kitalu
Mwaga mbegu za iliki kwenye kitalu, wengi hufanya hivi kwenye beseni chakavu.
Miche ikifika urefu wa cent mita 5-7 hamishia kwenye vikopo au vifuu vya nazi. Hivi vitakusaidia wakati wa kuhamishia shambani kwani vifuu vinaoza
Hamishia miche shamani kipindi cha mvua, iliki inapenda maji na unyevu unyevy na haistamili jus kali hivyo shambani panda migomba kati kati ya iliki ili ilete kivuli.
iliki huzaa baada ya miaka mitatu
Nimkuja PMvp kuna anaehitaji tufanye biashara ya iliki nipo tanga
Ungeweka no tukutafutevp kuna anaehitaji tufanye biashara ya iliki nipo tanga
wapendwa nipo dar es salaam nina hiliki natafuta soko, anae fahamu soko lilipo au anae nunua kwa jumla anicheki, iliki kutoka tangaWakishauza wananunua bati na kusomesha watoto. Hapo mama atanunuliwa vitenge vya wax.
Iliki ni kiungo chenye thamani sana
Aende kariako pale,kwenye wanapouza viungo
Stephano Raymond MaangwiAende kariako pale,kwenye wanapouza viungo
Hapo atapata connection,akifika pale amplifier
Smdy benzema
Kingine ajiongeze pale
Ova