zipalapwata
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 283
- 146
Hili SOKO LA DUNIA huwa liko wapi au nchi gani humu duniani?!mrangi, Mkuu nijuavyo, Kuna hiliki ambazo hata zikikauka zinabaki na ule u kijani wake na mara nyingi ndo zinazohitajika katika soko la dunia, Nina jamaa yangu ndo biashara yake so Sina ufahamu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
0123456, Attach mawasiliano yako nipost kwwenye group la Tanzania Spices Association
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mtu Wa tatu kuona unatafuta hiriki.
Na picha inayoambatanishwa ni hiihii.
Tuelezeeni kuhusu hiyo fursa isije mkapigwa kimyakimya mkaja kulialia humu
Swali zuriHili SOKO LA DUNIA huwa liko wapi au nchi gani humu duniani?!
Habari naomba na mimi namba nilikuwa nahitaji hiliki asanteSasa pm nakutumia namba yangu
Tubonge mm ntakulink kwa wakulima moja kwa moja hko usambara mountain's
Ambao hao wananikusanyiaga na mm
Usijali mm syo mchoyo wa connection
Ova
HabariKwa debe bei gani
Kiongozi habar yakoHabari naomba na mimi namba nilikuwa nahitaji hiliki asante
Kuna kikundi kinaitwa Amani wapo vema sana huko milima ya MuhezaIliki za Kijani zinapatikana Misalai ni kwenye milima ya Muheza Tanga
Usisahau fika pande za Ambangulu ya wasambaa, Kizumba, Mashindei, Tamota, Ngua, Kwemn'tindi, Lewa na Kwebago. Huko Iliki ndo pande zakeNilifanyaga research ya iliki siyo kulima ila ni wapi zinapatikana kwa wingi kwa bahati nilienda sehemu za lutindi,tanga huko nlizunguka vijiji kama 5 kieti,tamota,masangi,nguru,bungu kote huko nlikutana n'a zao la iliki na huko kg1 wanauza 14000 mpaka 16000 n'a kwa dar huku wanauza 25000 mpaka 26000 kwa kg wakomoro wananuua juu kidogo ya hapo......soon ntarudi tena huko kwa ajili ya kununua na kuwa supply watu wangu
Morogoro pia ipo sehemu fulani fulani ila iliki ya tanga wanasema ni the best hata iliki ya india haifikii
Soon nabadilisha tena gia angani mtamuona mrangi kwenye biashara ya mazao maana jiwe lishabuma mh kabana
Ila kwa wabishi kama sisi hata ukibana huku sisi tunapiga kule
OVA
Kote nlipita huko mkuuUsisahau fika pande za Ambangulu ya wasambaa, Kizumba, Mashindei, Tamota, Ngua, Kwemn'tindi, Lewa na Kwebago. Huko Iliki ndo pande zake
Sent using Jamii Forums mobile app