mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,898
- 106,183
PoaMzee mwenzangu vipi? Bado unafanya hii ishu, tusakane unipe a,b,c zake.
Unaweza jikuta unatembea kwa waganga kukusanya bidhaa.
Asante kwa hili ngoja nimtafuteKuna jamaa anaitwa mrangi embu mcheck anaweza akakusaidia details za kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa kunisahihisha mkuu asante sanaNimesoma nikafikiri HIRIZI halafu na hiyo tanga ndio kabisa
Mkuu inaitwa Hiliki au cardamom
Sent from my iPhone using Tapatalk
Pochi nene km bei gani mkuu?Kariakoo shimon kuna madon. Wa hizo mambo kwann uende tanga mbali mambo yapo morogoro tu hapo ila uwe na pochi nene mwamba
Sent using Jamii Forums mobile app