Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,050
- 5,513
Utolee mfano vyuo vikuu vya Tanzania bila kuspecify Chuo. Hapo utakuwa neutralNimeitolea kama mfano tu mkuu,
Maana ndicho chuo watu wanakitumia kama reference ya watu waliokuwa ma best performers in school,
Mkuu labda wewe ulitaka nitolee mfano chuo gani labda kwa mfano,
Tuanzie hapo kwanza.