RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,824
Mkuu tunahama topic? Anyway siwezi kufanya generalization. Kwenye utendaji wapo wa aina zote.Mkuu PRONDO,
Achilia mbali huo mfano, vipi kuhusu utendaji kazi wa wasomi wetu hawa maprofesa kwa jamii nzima especially mawaziri,
TUMIA MUDA WAKO KIDOGO KUTAFAKARI