Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
Wakuu hapa nawapa 100% watu wa Bukoba...hii kitu katerero si mchezo, mtu hutelezwa mpaka tope zinaishiwa maji.....mikoa mingine hebu na nyie mna katerero ya aina gani? ielezea tuone kama itaovertake KATERERO ya BUKOBA....