Facts 13 kuhusu Lowassa na Uchaguzi 2015

Facts 13 kuhusu Lowassa na Uchaguzi 2015

Wewe Ocampo wa kuchonga wacha kumpigia debe miga dili, unajua mtu huyu kawaumiza wa Tanzania kiasi gani?. Kwanini mnapo aidiwa mkate mnapoteza uzalendo, badala yake unaanza kuona ndoto zako za kijinga zaweza timia. Stop it.
 
Ni aibu sana mtu anapodanganya umma usiodanganyika kuwa eti Edward Lowassa ni muadilifu....kama ni hivyo basi Tanzania hakuna fisadi hata m1, nchi yetu ni ya watu waadilifu tu!???
 
utakuwa na matatizo makubwa ya akili. Hivi ni nani aliyeturoga kiasi cha kujitoa ufahamu kiasi hiki cha kupigia debe watu wenye shaka ya uadilifu? hivi ukiletewa idadi ya viwanja alivyokwapua hapa dar utaeleza nini wewe, hivi bado atajisafisha vipi na richmond yake? hivi atajisafisha vipi na mamilioni aliyogawa zanzibar na anayoendelea kuyagawa nchi nzima? hivi atajisafisha vipi na mkakati haramu wa kukimbilia ikulu kwa kutengeneza mashehe feki wa bagamoyo? hivi atajisafisha vipi na tuhuma lukuki za ufisadi? hivi kiongozi anayetiliwa shaka juu ya uadilifu wake kwa umma, unasema anafaa kuongoza taifa? hivi tumerogwa na nani na aliyeturoga kama kafa alizikwa wapi tukaombe au kaburi lake halijulikani lilipo?. Kwangu mimi kiongozi anayetiliwa shaka kwa uadilifu hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi, kama sakata la richmond hakuhusika kwa nini hajawahi kutoka hadharani na kufafanua kwa undani ilikuwaje? anasubiri huruma dakika za mwisho ili kulumbana na mwenyekiti wake wa achama? kiongozi jasiri na mwenye maamuzi magumu anakubali kuchafuliwa kwa ufisadi wa richmond huku akikaa kimya? anafanya hivyo kwa manufaa ya nani?. Hebu tuwe serious kwenye suala la kumpata rais ajaye. Kama tunahongwa kuwatetea majizi lazima tusitenge akili zetu na kuchanganya na za mbayuwayu kupata fikra pana. tafakari!
 
utakuwa na matatizo makubwa ya akili. Hivi ni nani aliyeturoga kiasi cha kujitoa ufahamu kiasi hiki cha kupigia debe watu wenye shaka ya uadilifu? hivi ukiletewa idadi ya viwanja alivyokwapua hapa dar utaeleza nini wewe, hivi bado atajisafisha vipi na richmond yake? hivi atajisafisha vipi na mamilioni aliyogawa zanzibar na anayoendelea kuyagawa nchi nzima? hivi atajisafisha vipi na mkakati haramu wa kukimbilia ikulu kwa kutengeneza mashehe feki wa bagamoyo? hivi atajisafisha vipi na tuhuma lukuki za ufisadi? hivi kiongozi anayetiliwa shaka juu ya uadilifu wake kwa umma, unasema anafaa kuongoza taifa? hivi tumerogwa na nani na aliyeturoga kama kafa alizikwa wapi tukaombe au kaburi lake halijulikani lilipo?. Kwangu mimi kiongozi anayetiliwa shaka kwa uadilifu hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi, kama sakata la richmond hakuhusika kwa nini hajawahi kutoka hadharani na kufafanua kwa undani ilikuwaje? anasubiri huruma dakika za mwisho ili kulumbana na mwenyekiti wake wa achama? kiongozi jasiri na mwenye maamuzi magumu anakubali kuchafuliwa kwa ufisadi wa richmond huku akikaa kimya? anafanya hivyo kwa manufaa ya nani?. Hebu tuwe serious kwenye suala la kumpata rais ajaye. Kama tunahongwa kuwatetea majizi lazima tusitenge akili zetu na kuchanganya na za mbayuwayu kupata fikra pana. tafakari!
 
utakuwa na matatizo makubwa ya kufikiri. Kabisa tanzania tuongozwe na mtu huyu mwenye shaka ya uadilifu? hivi tumerogwa na nani?
 
1. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wapenzi na mashabiki wengi kwa sasa....

2. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wasifu na historia kubwa na iliyotukuka katika utendaji wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla..

3. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee ambaye mpaka sasa kashawishiwa na makundi mengi sana ya kijamii, eg. Wakulima, wafanyabiashara, bodaboda, wafugaji, Mamalishe, wachimbaji wadogo wa madini, wanafunzi, wachungaji n.k

4. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye ushawishi na nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jamii kwa ujumla (rejea tafiti na takwimu mbalimbali)

5. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyeonyesha uzalendo wake kwa kupigania Nchi yake katika vita vya Kagera 1978/1979. Kwa Nchi nyingi duniani kupigana vita ni sifa muhimu na ziada kwa mtu anayewania uongozi. Kushiriki kupigana vita huchukuliwa kuwa ni kiwango cha juu kabisa cha uzalendo...

6. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maono yaliyowazi katika kuwakomboa wananchi kwa kuonyesha vipaumbele vya Taifa eg. Elimu, Elimu, Elimu, Afya, Kilimo, Kuondoa umasikini, kukuza uchumi n.k

7. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliye maarufu na ambaye wananchi wana matumaini naye kwa sasa. Hii inatokana na utendaji kazi wake na uwezo wake mkubwa wa kusimamia jambo eg. Shule za kata, mradi wa maji ziwa Victoria, Chuo cha UDOM, maamuzi ya City Water, viwanja vya Mnazi Mmoja na plot No. 125~157 Mikocheni n.k

8. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maamuzi magumu na sahihi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla...

9. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee atakayeweza kusimamia, kurudisha na kuleta nidhamu kwa viongozi na watendaji wa serikali na mashirika ya Umma...

10. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye nguvu wa ushawishi wa hoja kwa wananchi na katika vikao mbalimbali vya maamuzi (rejea kikao cha maamuzi kuhusu matumizi ya maji Ziwa Victoria nchini Misri, rejea kikao cha kupitisha maamuzi ya ujenzi wa UDOM n.k)....

11. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyejiandaa kisaikolojia kuingia Ikulu (rejea uchambuzi wa Prof. Kitila Mkumbo)....

12. Lowassa ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye sifa za ziada kama...
i. Mchapakazi kwa bidii
ii. Msikivu
iii. Mbunifu
iv. Muadilifu
v. Mpenda watu/wananchi
vi. Mvumilivu & Mstahimivu

13. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye dhamira na nia ya dhati kuondoa umasikini uliokithiri (Absolute Poverty)....

Mytake: kwa hizi facts zote, ni wazi Lowassa kwa sasa tunakuitaji kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Nchi hii...

Kama hujui dalili za U-Elt
on John ndio hizo mtoa mada,
 
stop lying....mwalimu nyerere hakuna hata siku moja alisema lowassa asipewe uongozi...hizi ndizo habari za vijiweni....unaweza prove ..?? Ulikuwepo ww..!!? Hizi ndio tabia za uongo za team membe...!!! Hv mmezaliwa ktk uongo nn..!!?

Mkatae mkubali, lowassa ni habari ya mujini, vijijini, vyuoni, misikitini, makanisani, abroad, hadi ukawa..ni lowassa tu....!!! Hatuchaguai chama au nn...tunachagua mtu...na mtu kwa sasa ni lowassa....no objection...hutaki utake, tht is the fact...!!!

Lowassa  ==>> 2015

hata kipindi kile mlisema kikwete kikwete...tena mkaongeza ni chaguo la mungu!!!!sasa huyu ndiyo balaa kabisa sipati picha kama akichukua nchi baada ya miaka kumi nchi ataiachaje!!!!..ndio maana aklichukua nchi mi nitaukana uraia!
 
1. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wapenzi na mashabiki wengi kwa sasa....

2. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wasifu na historia kubwa na iliyotukuka katika utendaji wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla..

3. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee ambaye mpaka sasa kashawishiwa na makundi mengi sana ya kijamii, eg. Wakulima, wafanyabiashara, bodaboda, wafugaji, Mamalishe, wachimbaji wadogo wa madini, wanafunzi, wachungaji n.k

4. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye ushawishi na nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jamii kwa ujumla (rejea tafiti na takwimu mbalimbali)

5. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyeonyesha uzalendo wake kwa kupigania Nchi yake katika vita vya Kagera 1978/1979. Kwa Nchi nyingi duniani kupigana vita ni sifa muhimu na ziada kwa mtu anayewania uongozi. Kushiriki kupigana vita huchukuliwa kuwa ni kiwango cha juu kabisa cha uzalendo...

6. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maono yaliyowazi katika kuwakomboa wananchi kwa kuonyesha vipaumbele vya Taifa eg. Elimu, Elimu, Elimu, Afya, Kilimo, Kuondoa umasikini, kukuza uchumi n.k

7. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliye maarufu na ambaye wananchi wana matumaini naye kwa sasa. Hii inatokana na utendaji kazi wake na uwezo wake mkubwa wa kusimamia jambo eg. Shule za kata, mradi wa maji ziwa Victoria, Chuo cha UDOM, maamuzi ya City Water, viwanja vya Mnazi Mmoja na plot No. 125~157 Mikocheni n.k

8. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maamuzi magumu na sahihi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla...

9. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee atakayeweza kusimamia, kurudisha na kuleta nidhamu kwa viongozi na watendaji wa serikali na mashirika ya Umma...

10. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye nguvu wa ushawishi wa hoja kwa wananchi na katika vikao mbalimbali vya maamuzi (rejea kikao cha maamuzi kuhusu matumizi ya maji Ziwa Victoria nchini Misri, rejea kikao cha kupitisha maamuzi ya ujenzi wa UDOM n.k)....

11. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyejiandaa kisaikolojia kuingia Ikulu (rejea uchambuzi wa Prof. Kitila Mkumbo)....

12. Lowassa ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye sifa za ziada kama...
i. Mchapakazi kwa bidii
ii. Msikivu
iii. Mbunifu
iv. Muadilifu
v. Mpenda watu/wananchi
vi. Mvumilivu & Mstahimivu

13. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye dhamira na nia ya dhati kuondoa umasikini uliokithiri (Absolute Poverty)....

Mytake: kwa hizi facts zote, ni wazi Lowassa kwa sasa tunakuitaji kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Nchi hii...

Hata mimi nikikatiwa fungu la maana nitaweweseka kama wewe..lakini kwa sasa bado mbishi!
 
1. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wapenzi na mashabiki wengi kwa sasa....

2. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wasifu na historia kubwa na iliyotukuka katika utendaji wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla..

3. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee ambaye mpaka sasa kashawishiwa na makundi mengi sana ya kijamii, eg. Wakulima, wafanyabiashara, bodaboda, wafugaji, Mamalishe, wachimbaji wadogo wa madini, wanafunzi, wachungaji n.k

4. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye ushawishi na nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jamii kwa ujumla (rejea tafiti na takwimu mbalimbali)

5. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyeonyesha uzalendo wake kwa kupigania Nchi yake katika vita vya Kagera 1978/1979. Kwa Nchi nyingi duniani kupigana vita ni sifa muhimu na ziada kwa mtu anayewania uongozi. Kushiriki kupigana vita huchukuliwa kuwa ni kiwango cha juu kabisa cha uzalendo...

6. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maono yaliyowazi katika kuwakomboa wananchi kwa kuonyesha vipaumbele vya Taifa eg. Elimu, Elimu, Elimu, Afya, Kilimo, Kuondoa umasikini, kukuza uchumi n.k

7. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliye maarufu na ambaye wananchi wana matumaini naye kwa sasa. Hii inatokana na utendaji kazi wake na uwezo wake mkubwa wa kusimamia jambo eg. Shule za kata, mradi wa maji ziwa Victoria, Chuo cha UDOM, maamuzi ya City Water, viwanja vya Mnazi Mmoja na plot No. 125~157 Mikocheni n.k

8. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maamuzi magumu na sahihi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla...

9. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee atakayeweza kusimamia, kurudisha na kuleta nidhamu kwa viongozi na watendaji wa serikali na mashirika ya Umma...

10. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye nguvu wa ushawishi wa hoja kwa wananchi na katika vikao mbalimbali vya maamuzi (rejea kikao cha maamuzi kuhusu matumizi ya maji Ziwa Victoria nchini Misri, rejea kikao cha kupitisha maamuzi ya ujenzi wa UDOM n.k)....

11. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyejiandaa kisaikolojia kuingia Ikulu (rejea uchambuzi wa Prof. Kitila Mkumbo)....

12. Lowassa ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye sifa za ziada kama...
i. Mchapakazi kwa bidii
ii. Msikivu
iii. Mbunifu
iv. Muadilifu
v. Mpenda watu/wananchi
vi. Mvumilivu & Mstahimivu

13. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye dhamira na nia ya dhati kuondoa umasikini uliokithiri (Absolute Poverty)....

Mytake: kwa hizi facts zote, ni wazi Lowassa kwa sasa tunakuitaji kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Nchi hii...

Lowasa yupi mwenye historia ya utendaji Uliotukuka? Hebu acheni kuiangamiza nchi kwa faida ya matumbo yenu
 
1. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wapenzi na mashabiki wengi kwa sasa....

2. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wasifu na historia kubwa na iliyotukuka katika utendaji wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla..

3. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee ambaye mpaka sasa kashawishiwa na makundi mengi sana ya kijamii, eg. Wakulima, wafanyabiashara, bodaboda, wafugaji, Mamalishe, wachimbaji wadogo wa madini, wanafunzi, wachungaji n.k

4. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye ushawishi na nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jamii kwa ujumla (rejea tafiti na takwimu mbalimbali)

5. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyeonyesha uzalendo wake kwa kupigania Nchi yake katika vita vya Kagera 1978/1979. Kwa Nchi nyingi duniani kupigana vita ni sifa muhimu na ziada kwa mtu anayewania uongozi. Kushiriki kupigana vita huchukuliwa kuwa ni kiwango cha juu kabisa cha uzalendo...

6. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maono yaliyowazi katika kuwakomboa wananchi kwa kuonyesha vipaumbele vya Taifa eg. Elimu, Elimu, Elimu, Afya, Kilimo, Kuondoa umasikini, kukuza uchumi n.k

7. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliye maarufu na ambaye wananchi wana matumaini naye kwa sasa. Hii inatokana na utendaji kazi wake na uwezo wake mkubwa wa kusimamia jambo eg. Shule za kata, mradi wa maji ziwa Victoria, Chuo cha UDOM, maamuzi ya City Water, viwanja vya Mnazi Mmoja na plot No. 125~157 Mikocheni n.k

8. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maamuzi magumu na sahihi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla...

9. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee atakayeweza kusimamia, kurudisha na kuleta nidhamu kwa viongozi na watendaji wa serikali na mashirika ya Umma...

10. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye nguvu wa ushawishi wa hoja kwa wananchi na katika vikao mbalimbali vya maamuzi (rejea kikao cha maamuzi kuhusu matumizi ya maji Ziwa Victoria nchini Misri, rejea kikao cha kupitisha maamuzi ya ujenzi wa UDOM n.k)....

11. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyejiandaa kisaikolojia kuingia Ikulu (rejea uchambuzi wa Prof. Kitila Mkumbo)....

12. Lowassa ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye sifa za ziada kama...
i. Mchapakazi kwa bidii
ii. Msikivu
iii. Mbunifu
iv. Muadilifu
v. Mpenda watu/wananchi
vi. Mvumilivu & Mstahimivu

13. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye dhamira na nia ya dhati kuondoa umasikini uliokithiri (Absolute Poverty)....

Mytake: kwa hizi facts zote, ni wazi Lowassa kwa sasa tunakuitaji kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Nchi hii...

Lowasa yupi mwenye historia ya utendaji Uliotukuka? Hebu acheni kuiangamiza nchi kwa faida ya matumbo yenu. Wekeni mbele maslahi mapana ya nchi na sio pesa
 
Lowassa anatufaa sana ..

Kila kona ya nchi wanamtaka lowassa
 
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe, mwenye macho haambiwi tazama.. Edo kazi buti, karibu tunalifikia daraja. Acha wanaozuia mafuriko kwa vidole waendelee. Watatukuta huko tukishavuka
 
Back
Top Bottom