Facts 13 kuhusu Lowassa na Uchaguzi 2015

Facts 13 kuhusu Lowassa na Uchaguzi 2015

Lowasa ndiye pekee ambaye ana uroho wa madaraka....pia lowasandiye mwenyewe...anyewahonga wanaomtaka agombeee
 
We unaejiita mwananchi kweli unamfahamu sana lowasa.lakini kwanini basi umfahamu zaidi lowasa kuliko wengine? Kuna jambo mlikuwa mnashirikiana au ,la we nyumba ndogo ya edo.pole ali ku du sasa ,kakutema.tulia tafuta mwingine magomeni wamejaa au uende mombasa wako tele.

Hata kama hutaki kumheshimu huyu Mzee wa watu basi heshimu jukwaa letu adhimu,mbona mnalinajisi hiv na kulifanya pan go la wajinga?

Chin I ya Maelezo yake ameandika jina lake na kazi yake aliyokuwa anafanya kuwa ni mwandishi wa Mwalimu Nyerere,pia ameweka hadi namba yake ya simu,kwetu sisi wengine jf ilikuwa ni zaidi ya shule,unaweza kwa comment zako ukajiita great thinker?

Kuna msemo nausikia vijana wanasema mahaba niue Je mahaba yako kwa Lowassa yanakupofua? Uongozi wa nchi is extremely serious Je unataka tuingizwe kwenye janga wakati watu wanaomjua mpendwa wenu wanatupa mwanga lili tumjue vizuri?

Ukomavu ungekuja na hoja za kupangua za kwake ili tujiridhishe matusi unajionesha wewe ni mtu wa aina gani na hutusaidii jukwaani zaidi ya lututia kichefuchefu na kutukimbiza jukwaani tuwaachie Lowassa wenu
 
Mwaka 2005 huyu mzee mangula alipata aibu kubwa kwa aibu ile akaamua kujiudhuru ghafla kwa, lowasa atadharalauka 1 kwa 1
 
hivi wale wachuuzi wa samaki wa feri aliowalipa ili wamuombe kugombea urais na wajifanye mashehe wa bagamoyo nao umewaainisha hapa ?
 
Lowasa ndiye pekee ambaye ana uroho wa madaraka....pia lowasandiye mwenyewe...anyewahonga wanaomtaka agombeee
eti hujui nani atakuja kukushawishi kugombea lakini unafunga mahema na kupanga viti na kupika wali wa wageni ! ulijuaje ?
 
1. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wapenzi na mashabiki wengi kwa sasa....

2. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye wasifu na historia kubwa na iliyotukuka katika utendaji wake ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikali kwa ujumla..

3. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee ambaye mpaka sasa kashawishiwa na makundi mengi sana ya kijamii, eg. Wakulima, wafanyabiashara, bodaboda, wafugaji, Mamalishe, wachimbaji wadogo wa madini, wanafunzi, wachungaji n.k

4. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye ushawishi na nguvu ndani ya Chama Cha Mapinduzi na jamii kwa ujumla (rejea tafiti na takwimu mbalimbali)

5. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyeonyesha uzalendo wake kwa kupigania Nchi yake katika vita vya Kagera 1978/1979. Kwa Nchi nyingi duniani kupigana vita ni sifa muhimu na ziada kwa mtu anayewania uongozi. Kushiriki kupigana vita huchukuliwa kuwa ni kiwango cha juu kabisa cha uzalendo...

6. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maono yaliyowazi katika kuwakomboa wananchi kwa kuonyesha vipaumbele vya Taifa eg. Elimu, Elimu, Elimu, Afya, Kilimo, Kuondoa umasikini, kukuza uchumi n.k

7. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliye maarufu na ambaye wananchi wana matumaini naye kwa sasa. Hii inatokana na utendaji kazi wake na uwezo wake mkubwa wa kusimamia jambo eg. Shule za kata, mradi wa maji ziwa Victoria, Chuo cha UDOM, maamuzi ya City Water, viwanja vya Mnazi Mmoja na plot No. 125~157 Mikocheni n.k

8. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye maamuzi magumu na sahihi kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla...

9. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee atakayeweza kusimamia, kurudisha na kuleta nidhamu kwa viongozi na watendaji wa serikali na mashirika ya Umma...

10. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye nguvu wa ushawishi wa hoja kwa wananchi na katika vikao mbalimbali vya maamuzi (rejea kikao cha maamuzi kuhusu matumizi ya maji Ziwa Victoria nchini Misri, rejea kikao cha kupitisha maamuzi ya ujenzi wa UDOM n.k)....

11. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee aliyejiandaa kisaikolojia kuingia Ikulu (rejea uchambuzi wa Prof. Kitila Mkumbo)....

12. Lowassa ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye sifa za ziada kama...
i. Mchapakazi kwa bidii
ii. Msikivu
iii. Mbunifu
iv. Muadilifu
v. Mpenda watu/wananchi
vi. Mvumilivu & Mstahimivu

13. Lowassa, ndiye mgombea mtarajiwa pekee mwenye dhamira na nia ya dhati kuondoa umasikini uliokithiri (Absolute Poverty)....

Mytake: kwa hizi facts zote, ni wazi Lowassa kwa sasa tunakuitaji kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Nchi hii...

Looks like ulipokuwa unaandika haya yote kichwa chako kilikuwa disconnected kwenye mwili wako.
 
Stop lying....Mwalimu Nyerere HAKUNA HATA SIKU MOJA ALISEMA LOWASSA ASIPEWE UONGOZI...Hizi ndizo habari za vijiweni....UNAWEZA PROVE ..?? Ulikuwepo ww..!!? Hizi ndio tabia za uongo za team Membe...!!! Hv mmezaliwa ktk uongo nn..!!?

Mkatae mkubali, Lowassa ni habari ya mujini, vijijini, vyuoni, Misikitini, Makanisani, Abroad, hadi UKAWA..ni Lowassa tu....!!! Hatuchaguai chama au nn...TUNACHAGUA MTU...NA MTU KWA SASA NI LOWASSA....No objection...hutaki utake, tht is the fact...!!!

Lowassa 🏃🏃🏃🏃🏃 ==>> 2015

Huna unalojuwa wewe muulize Kikwete Mwl.alisemaje baada ya wao wawili kujitokeza kugombea urais,? Acha mapenzi ya kidaku wewe.huyu mtu hafai hata kwa kachumbari huyu.
 
Lowasa,Act!! Lowasa Act!! Lowasa,Act!! Lowasa,Act!! Lowasa,Act!! Lowasa,Act!!

kuna nini kinaendelea humu jamii Politics!!
 
Haya tumekusikia we jamaa!Umetumia vema mgao uliopewa!!nani amchague fisadi EL!!hujielewi ww
 
Umesahau ya 14 Kuwa ndiye fisadi pekee aliye iba na kusifiwa na watu ni sifa kubwa sana hii
 
Lowasa ndio waziri mkuu pekee aliyefukuzwa kazi kwa ajili ya wizi na mikataba mibovu

lowasa ndio mgombea pekee anayeshawishi watu kwa pesa eti kwenda kumuomba agombee

lowasa ndio mgombea pekee aliyekataliwa na mwl j.k nyerere

Nyerere alishakufa,tupishe
 
Back
Top Bottom