Facebook!!!!!!!!!

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,883
155,856
Marafiki walipoteana siku nyingi sana. Baada ya miaka kumi wakaonana mjini.
Jamaa wa kwanza akamuuliza mwenzie, je kwenye facebook unatumia jina gani? Jamaa wa pili akajibu, tangu tumemaliza shule miaka kumi iliyopita mi na vitabu tuko tofauti kabisa, kwani hicho kitabu cha fesibuku mtunzi wake nani?
 
Back
Top Bottom