Facebook wamefeli kuhusu tukio la Ufaransa

Africa is for Africans.

ANawashangaa sana kila siku watu kama Maarim Seif eti anakimbilia nje kuomba wazungu wamsaidie, yaani waafrika kweli tuna matatizo ya akiri ..hivi unaweza ukahisi wazungu wanakupenda saaaana? nawashangaa sana watu wa hivi kwakweli
 

Kuna siku Mark aliweka bendera ya Rangi za Upinde wa mvua na watu wengine wakasapot kwa kuweka hizo pinde bila kujua zilikuwa zinamaanisha nini. Ilikuwa ni FACEBOOK CELEBRATION PRIDE.
 
Halafu kuna mapimbi kibao yanayotetea huu upuuzi ndo yameweka profile display huko fb, yanaonekana yameguswa kweli na tukio la ufaransa kuliko hata garissa
😡😡😡😡😡😡
 
Fb ufanya kazi kutokana nchi usika uwezekano walioweka ni wafaransa hapa ukiweka pc ya utupu aingii nchi ingine inaingia
 

Eeee kumbe hata Facebook Ina "Ukanda"😄😄😄😄
 
Sioni tatizo la Facebook.

Waafrika tuanze na kujithamini sisi wenyewe kwanza kwa kuheshimiana na kutendeana vyema.
 
Halafu kuna mapimbi kibao yanayotetea huu upuuzi ndo yameweka profile display huko fb, yanaonekana yameguswa kweli na tukio la ufaransa kuliko hata garissa
😡😡😡😡😡😡

garisa mbali wangelilia hawa wa kipindupindu maana idadi inaanza kukarbia wafaransa
 
Kweli kabisa mkuu, me ndio maana sijafanya kabisa kuweka france profile japo very sorry France, lakini pia Palestine, Syria pia wanauawa kila siku lakini hawajafanya kitu kama hicho hata siku moja
 
uache kulalamika vitu vya kindorobo. hili ndio shambulio la kwanza facebook kuweka huo utaratibu. inawezekana kabla walikuwa hawajagundua njia rahisi yakuwafanya watu wawe aware na habari kama hizo. ikitokea tena wakashindwa ndio uje ulalamike
 
Una dyslexia wewe! Wacha wazungu wajaliane, mmekatazwa kutumia mitandao yenu mpk mtegemee vya wazungu?
 
Wakati mwingine ndo maana nawafagilia wachina. Wana facebook yao, twitter yao, Whatsapp yao, Instagram yao...halafu wakaziblock hizi za kimarekani zote. Huo ndo uzalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…