Facebook, Twitter, hi5, MySpace,... etc

Mad Max

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
18,878
48,950
Hii mitandao ambayo main aim ni kua connected with friends worldwide inaongeza kiwango cha kufail wanafunzi. O Level na Advance, pia Wanavyuo wanapunguza GPA zao ...

Uwongo?
 
Uwongo sana tu kwa sababu wengine wanaofeli hawana access ya vidubwashka hivyo na wanafeli kuliko hao wanaojitandaza kwenye hizo mitandao ya kijamii
 
Kwanza jiulize haya maswali: Coverage na access ya internet TZ vs ratio ya wanafunzi wanaofeli zinawiana? Wanafunzi wa kizazi hiki wapo seriously dedicated kusoma kwa malengo? Serikali imewekeza ktk elimu kiasi gani? Mitaala yetu ikoje? Mazingira ya shule zetu yapo conducive kwa wanafunzi kusoma na kufaulu?
...
Hayo ni maswali machache kati ya mengi ya kujiuliza kabla ya ku-conclude sababu za wanafunzi kufeli.
...
Kuhusu sababu uliyosema, inachangia kwa asilimia ndogo sana (it is a negligible portion of the causes). Tena mwanafunzi mjanja anae-access internet atakua anapata "materials" na ku-supplement kile anachopata darasani.
...
Nitarudi baadae
 
Tatizo ni jingine wewe unaleta kingine...unahitaji kufikiria twice twice kamanda.
 
uwongo-
kwani wanafunzi kufeli imeanza juzi?hao wa miaka ya nyuma kabala hii mitandoa haipo walikuwa wanafelioshwa na nni?
 
Mtandao ni jinsi unavyo utumia, Wanao Fail ni kwa sababu zao au hawajajua wamefuata nini shuleni
 
Back
Top Bottom