white hat
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 3,320
- 2,488
Nilichogundua kwanini simu inazima ukiingia app ya Facebook.Aisee hata mimi facebook inanisumbua sana
Nilichogundua kwanini simu inazima ukiingia app ya Facebook.Aisee hata mimi facebook inanisumbua sana
toleo jipya la Facebook app halisupport version chini ya 5.0 yan kama ni KitKat 4.#.# sahau Nilichogundua kwanini simu inazima ukiingia app ya Facebook.Kama haiendani ni version ya simu asingeweza kuupdate acha fix we mzee
Hapo kwa red hapo... moyo wangu umemtukuza Bwana, na Roho yangu imeshangilia... kwa ajili yako La mujar mpenzi wa moyo wangu
Umesahau mimi kazi yangu kuu ni kuwakagua??Wewe babu hivi humu ndani kila member wa kike ni wako?