Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,261
Habari za muda wakuu,
Nimejaribu kulipia moja ya post yangu ya kwenye page ya facebook ili iwafikie watu wengi zaidi ila inaandika ....Je nifanyaje au tatizo nini nirekebishe? Nimejaribu mara kadhaa inagoma!
Nimejaribu kulipia moja ya post yangu ya kwenye page ya facebook ili iwafikie watu wengi zaidi ila inaandika ....Je nifanyaje au tatizo nini nirekebishe? Nimejaribu mara kadhaa inagoma!