kitu kizuri katika mahusiano ni mawasiliano mazuri, ila tatizo linakuja kwa wanaume most of them niwaongo, kama mnaweza kubadilisha hili basi mahusiano yatakua salama
Hapo kwenye mtu nzima kuwa mtoto umenikumbusha mrembo mmoja ambaye aliwahi kutamka, "Baada ya mapenzi ya uteenager sikudhani kama nitakuja kuexperience mapenzi kama yale ya uteenager ukubwani ambayo yanaweza kukufanya ukahehuka."
ur right Lara 1 :smile-big:Hahahahahaaaaaaaaaaa! DO YOU REALLY EXPECT THE MEN TO TELL THE TRUTH? Hell no! You want the truth find it else where! Mwanaume takwambia uchotaka kusikia.
ha ha ha, sasa hapo ndio penyewe hakuna cha mdogo wala mkubwa, wote tunashushwa kuwa level moja