Face your man

Face your man

myroom320

Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
40
Reaction score
16
Kuna wanawake wengine au wasichana bila hata kujua, wamejikuta wakipoteza wanaume wanaowapenda katika maisha yao.

Kwa sehemu kubwa, wanawake huwa hawanatafuti habari, taarifa au yanayowahusu wapenzi wao kutoka moja kwa moja kunakohusika.


Unajua wanachofanya? Watauliza wanawake wenzao, marafiki zao, wataalamu wa mapenzi, wanasaikolojia na kuamini kila watakachoambiwa ilimradi tu imani iko pale kwamba ule ni msaada tosha kwa mahusiano yake nyumbani.

Na wakati wanaacha sehemu husika, ambayo anaweza kupata kila habari bila gharama, bila usumbufu, bila kupoteza wakati na sio kwingine zaidi ya kukaa na mpenzi wako, kuongea nae taratibu na kujua zaidi ana wazo gani juu ya mahusiano yenu.

Anajisikiaje na kutafuta mambo mengi yanayomuhusu yeye kama ni mtu wa aina gani? Anapenda nini? Anachukia nini?? Na ni kwa njia gani mtaweza kufika pale mnapopataka.
Hawa wanaume ni watu wa kawaida sanaa ni kama watoto wadogo na hawahitaji elimu sana au wataalamu kuwajua au kuishi nao.

Inawezekana tukatofautiana kimawazo "feel free"
 
Mmmh hapana u men never say the truth,nna experience kwa kwel nshawah kukaa na mwandani wangu akaishia kunidanganya badala ya kunambia ukweli
 
Kuna wanawake wengine au wasichana bila hata kujua, wamejikuta wakipoteza wanaume wanaowapenda katika maisha yao.

Kwa sehemu kubwa, wanawake huwa hawanatafuti habari, taarifa au yanayowahusu wapenzi wao kutoka moja kwa moja kunakohusika.


Unajua wanachofanya? Watauliza wanawake wenzao, marafiki zao, wataalamu wa mapenzi, wanasaikolojia na kuamini kila watakachoambiwa ilimradi tu imani iko pale kwamba ule ni msaada tosha kwa mahusiano yake nyumbani.

Na wakati wanaacha sehemu husika, ambayo anaweza kupata kila habari bila gharama, bila usumbufu, bila kupoteza wakati na sio kwingine zaidi ya kukaa na mpenzi wako, kuongea nae taratibu na kujua zaidi ana wazo gani juu ya mahusiano yenu.

Anajisikiaje na kutafuta mambo mengi yanayomuhusu yeye kama ni mtu wa aina gani? Anapenda nini? Anachukia nini?? Na ni kwa njia gani mtaweza kufika pale mnapopataka.
Hawa wanaume ni watu wa kawaida sanaa ni kama watoto wadogo na hawahitaji elimu sana au wataalamu kuwajua au kuishi nao.

Inawezekana tukatofautiana kimawazo "feel free"

You are quite right mkuu..the problem with women is that all they think they know about men they have been told/learnt from their fellow women including their mammas..it goes like.."well, let me tell you what men are.." and unknowingly they take their mamma's man shoe and try to fit on their man's feet...not taking into consideration kwamba they are not the same men
 
You are quite right mkuu..the problem with women is that all they think they know about men they have been told/learnt from their fellow women including their mammas..it goes like.."well, let me tell you what men are.." and unknowingly they take their mamma's man shoe and try to fit on their man's feet...not taking into consideration kwamba they are not the same men

Very interesting while reading it, very helpful if they take it into action.. We are different.
 
Kuna wanawake wengine au wasichana bila hata kujua, wamejikuta wakipoteza wanaume wanaowapenda katika maisha yao.

Kwa sehemu kubwa, wanawake huwa hawanatafuti habari, taarifa au yanayowahusu wapenzi wao kutoka moja kwa moja kunakohusika.


Unajua wanachofanya? Watauliza wanawake wenzao, marafiki zao, wataalamu wa mapenzi, wanasaikolojia na kuamini kila watakachoambiwa ilimradi tu imani iko pale kwamba ule ni msaada tosha kwa mahusiano yake nyumbani.

Na wakati wanaacha sehemu husika, ambayo anaweza kupata kila habari bila gharama, bila usumbufu, bila kupoteza wakati na sio kwingine zaidi ya kukaa na mpenzi wako, kuongea nae taratibu na kujua zaidi ana wazo gani juu ya mahusiano yenu.

Anajisikiaje na kutafuta mambo mengi yanayomuhusu yeye kama ni mtu wa aina gani? Anapenda nini? Anachukia nini?? Na ni kwa njia gani mtaweza kufika pale mnapopataka.
Hawa wanaume ni watu wa kawaida sanaa ni kama watoto wadogo na hawahitaji elimu sana au wataalamu kuwajua au kuishi nao.

Inawezekana tukatofautiana kimawazo “feel free”

Poa mimi nimeoa, siyajui haya
 
wanawake wamekariri kuwa wanaume siku zote ni waongo! hawawezi kamwe kusema ukweli, na hili pia ni TATIZO kwa wanawake!
 
Hahahahahaaaaaaaaaaa! DO YOU REALLY EXPECT THE MEN TO TELL THE TRUTH? Hell no! You want the truth find it else where! Mwanaume takwambia uchotaka kusikia.

Hapo ndio mnapokose sasaa mazungumzo ndio nguzo ya uhusiano unaenda kuomba ushauri kwa mwanamke mwenzio anakushaur vibaya unaachana na boy wako shortly unakuta aliekushauri anatembea nae xaxaa
 
Mmmh hapana u men never say the truth,nna experience kwa kwel nshawah kukaa na mwandani wangu akaishia kunidanganya badala ya kunambia ukweli

Moja ya vitu nilivyojifunza ni kuwa huwezi ishi mda mrefu na mwanamke bila kumdanganya hata kama uo ukweli ni kwa ajili ya kujenga uhusiano wenu lakini ni bora umdanganye kuliko kumwambia ukweli.
 
Hapo ndio mnapokose sasaa mazungumzo ndio nguzo ya uhusiano unaenda kuomba ushauri kwa mwanamke mwenzio anakushaur vibaya unaachana na boy wako shortly unakuta aliekushauri anatembea nae xaxaa

Try to tell your girl she is getting fat, the weave looks ugly on her, and you prefer her in long skirts than minis cause her legs are too thin. Try that little truth and see where it gets you.
 
Hahahahahaaaaaaaaaaa! DO YOU REALLY EXPECT THE MEN TO TELL THE TRUTH? Hell no! You want the truth find it else where! Mwanaume takwambia uchotaka kusikia.


husisahau kwamba ni wewe utakayeweza kumfanya mwanaume kuwa vile unavyotaka, trust me akili zao ndogo sanaaaaaaa. hawana ujanja kwa lolote, they only need guidance!!!. hahahah
 
Hahahahahaaaaaaaaaaa! DO YOU REALLY EXPECT THE MEN TO TELL THE TRUTH? Hell no! You want the truth find it else where! Mwanaume takwambia uchotaka kusikia.

hamjui kutuuliza,mfano kama mii kuna vitu hadi natamani kuulizwa ila mpaka leo sijaulizwa..change your mindset sisi niwarahisi mnoo
 
Back
Top Bottom