Face by face na star wa Jamiiforum

Face by face na star wa Jamiiforum

Pedra buyer

Member
Joined
Apr 26, 2015
Posts
97
Reaction score
32
Ilikuwa ndani ya daladala bana.Dada anachati sasa si nikampiga chabo kucheki ID yake hahahahaha! Dada mmoja maarufu sana humu ndani.

Nilimuomba nimlipie nauli nae hakusita kusema asante kimoyomoyo nilicheka sana.

Hebu kishieni mnajua kwanini nilikuwa nacheka?
 
Asante Mungu jana sikuingia JF nikiwa ndani ya daladala!
Hata hivyo mimi sio star, hivyo nisingekuwa na chakupoteza.
 
pengine anasemaga kuwa ana ndinga hivyo ulipomuona kwenye matatu ukacheka lakini kupanda matatu ni kawaida pengine gari iliharibika 😛opcorn:
 
Back
Top Bottom