DEWIS KAIJAGE Member Joined Jul 23, 2016 Posts 72 Reaction score 8 Sep 10, 2016 #1 ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech
mhuri25 JF-Expert Member Joined Sep 3, 2016 Posts 3,259 Reaction score 4,467 Sep 10, 2016 #2 Km n medical lab tech afu vigezo na mashariti unavyo jipeleke mapema mkuu... wala usihojii kwann
B Bacary Superior JF-Expert Member Joined Jul 3, 2014 Posts 3,721 Reaction score 1,515 Sep 10, 2016 #3 mhuri25 said: Km n medical lab tech afu vigezo na mashariti unavyo jipeleke mapema mkuu... wala usihojii kwann Click to expand... fuata huu ushauri japo unaweza kuishia na diploma maana 3.5 mbali
mhuri25 said: Km n medical lab tech afu vigezo na mashariti unavyo jipeleke mapema mkuu... wala usihojii kwann Click to expand... fuata huu ushauri japo unaweza kuishia na diploma maana 3.5 mbali
Harnandez JF-Expert Member Joined Jun 29, 2015 Posts 408 Reaction score 344 Sep 10, 2016 #4 DEWIS KAIJAGE said: ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech Click to expand... Usifananishe lab tech na vitu vya kipumba.vu tafadhali
DEWIS KAIJAGE said: ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech Click to expand... Usifananishe lab tech na vitu vya kipumba.vu tafadhali
Ghulaam JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 1,862 Reaction score 1,471 Sep 10, 2016 #5 Kama umepata chuo na uhakika wa kusoma upo nenda chuoni mkuu mambo hayasomeki mwenzako nilichekwa nilishindwa kuendelea na form five Nikapiga Dip niko mzigoni kwa sasa wale jamaa ndio kwanza wanasubiri ajira za magufuli wengine wamesoma kozi za ajabu ajabu
Kama umepata chuo na uhakika wa kusoma upo nenda chuoni mkuu mambo hayasomeki mwenzako nilichekwa nilishindwa kuendelea na form five Nikapiga Dip niko mzigoni kwa sasa wale jamaa ndio kwanza wanasubiri ajira za magufuli wengine wamesoma kozi za ajabu ajabu
K KIJONGA JF-Expert Member Joined Apr 4, 2014 Posts 456 Reaction score 374 Sep 11, 2016 #6 Kwa hgk nauona mwisho wako ni ualimu ambao kwa sasa take home ni lak 5,na mpk ww kumaliza chuo.naamin ajira za walimu hasa wa hati hazitakuwepo tena,hivyo katk hilo utakiwi kupoteza muda,nenda lab fast sana
Kwa hgk nauona mwisho wako ni ualimu ambao kwa sasa take home ni lak 5,na mpk ww kumaliza chuo.naamin ajira za walimu hasa wa hati hazitakuwepo tena,hivyo katk hilo utakiwi kupoteza muda,nenda lab fast sana
DEWIS KAIJAGE Member Joined Jul 23, 2016 Posts 72 Reaction score 8 Sep 11, 2016 Thread starter #7 Harnandez said: Usifananishe lab tech na vitu vya kipumba.vu tafadhali Click to expand... nachoitaji mtizamo na cio kuleta misemo ya ajabu hap
Harnandez said: Usifananishe lab tech na vitu vya kipumba.vu tafadhali Click to expand... nachoitaji mtizamo na cio kuleta misemo ya ajabu hap
balimar JF-Expert Member Joined Sep 18, 2015 Posts 7,880 Reaction score 13,932 Sep 11, 2016 #8 Harnandez said: Usifananishe lab tech na vitu vya kipumba.vu tafadhali Click to expand... Umenichekesha sana j2 ya leo. Laaah dunia hadaa ila ulimwengu ni chuo kikuu
Harnandez said: Usifananishe lab tech na vitu vya kipumba.vu tafadhali Click to expand... Umenichekesha sana j2 ya leo. Laaah dunia hadaa ila ulimwengu ni chuo kikuu
balimar JF-Expert Member Joined Sep 18, 2015 Posts 7,880 Reaction score 13,932 Sep 5, 2025 #9 DEWIS KAIJAGE said: nachoitaji mtizamo na cio kuleta misemo ya ajabu hap Click to expand... Heshimu mitazamo ya watu Watu wanatumia bundle kukushauri
DEWIS KAIJAGE said: nachoitaji mtizamo na cio kuleta misemo ya ajabu hap Click to expand... Heshimu mitazamo ya watu Watu wanatumia bundle kukushauri
M Mr Bigboss Member Joined Dec 20, 2021 Posts 54 Reaction score 19 Sep 5, 2025 #10 DEWIS KAIJAGE said: ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech Click to expand... Achana na advance, nenda chuo aiseee. Advance unaenda kupoteza muda TU.
DEWIS KAIJAGE said: ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech Click to expand... Achana na advance, nenda chuo aiseee. Advance unaenda kupoteza muda TU.
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 18,311 Reaction score 37,074 Sep 5, 2025 #11 DEWIS KAIJAGE said: ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech Click to expand... Nenda LAB 🧪 🧫 🧫 thank me later...
DEWIS KAIJAGE said: ushauri wa fastar unaitajika f4 fiv comb HGK Vs diploma lab tech Click to expand... Nenda LAB 🧪 🧫 🧫 thank me later...