Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Mbunge wa msalala Yuko Star Tv hivi sasa katika kipindi cha medani za siasa pamoja na mambo mengine amesema yeye alipokuwa waziri wa maliasili na utalii hakukuwahi kusafirishwa mnyama yeyote hai kwenda nchi za nje, hata sungura hakusafirishwa.
Issue ya twiga alikuta tayari ilishafanywa ila Kamati teule kwa ungomvi wa Mtu na Mtu individually wakaamua kumsingizia yeye ili aondolewe kwenye nafasi yake kwa chuki.
Binafsi naona Kama anamlaumu Mh. Lembeli ambaye Kamati yake imekuwa mwiba kwa mawaziri, kila inaposoma ripoti yake imekuwa ikiondoka na mawaziri. Refer Juzi kwenye op. tokomeza.
Update.
Mh. Maige amesema anapenda rais ajaye awe jasiri Kama Ezekike Maige ambaye alidhubutu Kutenda yaliyoshindikana wizarani, yeye Hana kundi katika wale wanaotajwa kugombea urais mwaka ni.
Anasema rais ajaye Kama Ataona yeye Maige anafaa Kuwatumikia watanzania Yuko tayari Kuwa waziri tena.
Update;
mh. Maige anasema kesi iliyoko mahakamani inahusu Maafisa wanyama pori aliifungua yeye ila waziri aliefuata akawa anajitangaza Kuwa ni yeye, kusema watanzania wamhukumu kwa utendaji wake na uzalendo wake kwa taifa.
Kalaumu waandishi wa habari kwa kuendesha kampeni za uongo/kupotosha ukweli wa mambo.
Issue ya twiga alikuta tayari ilishafanywa ila Kamati teule kwa ungomvi wa Mtu na Mtu individually wakaamua kumsingizia yeye ili aondolewe kwenye nafasi yake kwa chuki.
Binafsi naona Kama anamlaumu Mh. Lembeli ambaye Kamati yake imekuwa mwiba kwa mawaziri, kila inaposoma ripoti yake imekuwa ikiondoka na mawaziri. Refer Juzi kwenye op. tokomeza.
Update.
Mh. Maige amesema anapenda rais ajaye awe jasiri Kama Ezekike Maige ambaye alidhubutu Kutenda yaliyoshindikana wizarani, yeye Hana kundi katika wale wanaotajwa kugombea urais mwaka ni.
Anasema rais ajaye Kama Ataona yeye Maige anafaa Kuwatumikia watanzania Yuko tayari Kuwa waziri tena.
Update;
mh. Maige anasema kesi iliyoko mahakamani inahusu Maafisa wanyama pori aliifungua yeye ila waziri aliefuata akawa anajitangaza Kuwa ni yeye, kusema watanzania wamhukumu kwa utendaji wake na uzalendo wake kwa taifa.
Kalaumu waandishi wa habari kwa kuendesha kampeni za uongo/kupotosha ukweli wa mambo.