Najua ataendelea kulalamika mpka mwezi wa 10.
sasa why not have a single thread ili tuendelea kupata burudani za malalamiko yake huyu jamaa?
mimi naenjoy sana kusoma malalamiko yake kila kukicha. Sitaki kumdismiss maana ndio kawaida ya system ya Tanzania
sasa why not have a single thread ili tuendelea kupata burudani za malalamiko yake huyu jamaa?
mimi naenjoy sana kusoma malalamiko yake kila kukicha. Sitaki kumdismiss maana ndio kawaida ya system ya Tanzania