Kila behewa Lina mhudumu 1 ambaye anahudimia abiria 45-78,posho 40,000*1*14=280,000
Wakataji ticket kwa posho labda ya 40,000*4 kwa siku.
Dereva 2*40,000=80,000
Umeme 2,000,000 kwa trip
Wahudumu wengineo 16*40,000
Jumla ya matumizi kwa minadhiri ya trip moja kwenda Moro ni 3,250,000
Kuja mapato baada ya vat ya 16%
12,400*78*14=13,759,200
Tuseme treni imejaza kwa 60%=8,255,520
Unabaki na 5,005,520 kwa trip moja .
Sio hela ndogo kama unavyofikiria.
Kumbuka hao wahudumu wananne wa counter wanahudumia karibia treni zote Tano za Dodoma na morogoro ukija piga hesabu kwa siku unaweza Kuta trip moja tu inakuwa Inaweza lipa posho au mshahara wa siku kwa wahudumu wote kwa treni ya abiria kuanzia dar mpaka Dom namaanisha malipo ya siku