"Extra" Habari za Laasiri

"Extra" Habari za Laasiri

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
3,811
Reaction score
1,607
Dogo alikuwa mitaani anauza gazeti la Laasiri huku anatangaza:
Extra News, habari moto moto za Laasiri!
"Leo watu Mia watapeliwa kwa mpigo"
Jipatie nakala yako. Watu 100 watapeliwa. Extra extra...

Mzee mmoja anasogea, anatoa pesa na kupewa nakala yake.
Dogo anaendelea kutangaza biashara yake:
"Habari moto moto za Laasiri, "Leo watu Mia moja na Mmoja watapeliwa kwa mpigo"
Jipatie nakala yako. Extra extra!
 
Lo! Kumbe mzee keshatapeliwa hana habari!
 
Dogo alifuata ule wito wa Mtaji wa masikini ni bongo yake mwenyewe"
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Umetisha..
 
Back
Top Bottom