Heshima kwa wapambanaji wote!
Itoshe kusema itifaki imezingatiwa, na kwa heshima kubwa, napanda jukwaani nikilenga kujadili hili jambo la Export business!
Kwanza, hapana shaka kwamba Tanzania & East Africa na Africa kwa ujumla ni sehemu ambazo zimepata upendeleo sana katika raslimali ardhi na hali ya hewa inayoruhusu uoteshaji na ukuzaji wa mazao mbalimbali.
Turejelee pia kwamba, tafiti zinaonesha ya kwamba, kwa raslimali ardhi ya Afrika, inatosheleza kulisha dunia nzima kwa muda wa mwaka mmoja endapo zimetumika ipaswavyo; -
Tusiende mbali sana, tafiti pia zinaonesha kwamba, Tanzania inauwezo wa kulisha Africa mashariki na kati kwa mwaka mmoja pasipo mtu kulala njaa.
Hebu turejelee kwa hali halisi,
Tanzania inaImport almost kila kitu;-
1. Tunaagiza ngano,
2. Tunaagiza mafuta ya kula (mawese)
3. Tunaagiza shayiri (raw materials for bear)
And the list goes on.
WaTanzania tunakwama wapi? Vijana tuko wapi? Tunasubiri ghalika lishuke ndo tujue kwamba kuna fursa kama hizi?
Anyway..... Ngoja tuendelee na mada,
Katika kipaombele kikubwa kinachopewa uzito na uhitaji wa hali ya juu kwa nchi za ulaya, urusi na marekani ni upatikanaji wa organic products (bidhaa /mazao yasiyotumia kemikali) yaani health products!!
Je, ni kwamba sisi watanzania hatuwezi zalisha na kuwauzia hawa watu? Nini kinatukwamisha, je ni uvivu? Je ni kukosa mitaji? Je ni taratibu na sera za serikali?
Najua kuna wajuzi na watalaam wa mambo haya kwa hali ya juu sana hapa JF. Naomba niwasilishe thread kwa kukaribisha mjadala na kuibua mawazo juu ya Export business, especially katika mazao ya kilimo na mifugo.
Salute!
Itoshe kusema itifaki imezingatiwa, na kwa heshima kubwa, napanda jukwaani nikilenga kujadili hili jambo la Export business!
Kwanza, hapana shaka kwamba Tanzania & East Africa na Africa kwa ujumla ni sehemu ambazo zimepata upendeleo sana katika raslimali ardhi na hali ya hewa inayoruhusu uoteshaji na ukuzaji wa mazao mbalimbali.
Turejelee pia kwamba, tafiti zinaonesha ya kwamba, kwa raslimali ardhi ya Afrika, inatosheleza kulisha dunia nzima kwa muda wa mwaka mmoja endapo zimetumika ipaswavyo; -
Tusiende mbali sana, tafiti pia zinaonesha kwamba, Tanzania inauwezo wa kulisha Africa mashariki na kati kwa mwaka mmoja pasipo mtu kulala njaa.
Hebu turejelee kwa hali halisi,
Tanzania inaImport almost kila kitu;-
1. Tunaagiza ngano,
2. Tunaagiza mafuta ya kula (mawese)
3. Tunaagiza shayiri (raw materials for bear)
And the list goes on.
WaTanzania tunakwama wapi? Vijana tuko wapi? Tunasubiri ghalika lishuke ndo tujue kwamba kuna fursa kama hizi?
Anyway..... Ngoja tuendelee na mada,
Katika kipaombele kikubwa kinachopewa uzito na uhitaji wa hali ya juu kwa nchi za ulaya, urusi na marekani ni upatikanaji wa organic products (bidhaa /mazao yasiyotumia kemikali) yaani health products!!
Je, ni kwamba sisi watanzania hatuwezi zalisha na kuwauzia hawa watu? Nini kinatukwamisha, je ni uvivu? Je ni kukosa mitaji? Je ni taratibu na sera za serikali?
Najua kuna wajuzi na watalaam wa mambo haya kwa hali ya juu sana hapa JF. Naomba niwasilishe thread kwa kukaribisha mjadala na kuibua mawazo juu ya Export business, especially katika mazao ya kilimo na mifugo.
Salute!