Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 4,907
- 7,123
Tukiwa chuo kuna mwana alikuwa anapenda sana kitu inaitwa "Njoinjoi" bila shaka nitakuwa sijakosea.
Kwenye story anatoa sifa sana kuhusu hii kitu. Mim sikuwahi kuitumia kwanza hata pisi tu kuzipata ilikuwa shida 😂.
Mwaka 2022, kuna mwana nikakutana nae tena ananipa story za vitu unapaka kichwani kwa abdala. Kuwa unapiga show ya kufa mtu.
Nikasema hii ngoja nijaribu tena kwa manzi msumbufu. Iliishia kunipa aibu tu. Bora kubaki na fomu yangu.
Tena, mwaka jana nikakutana na mwamba anasema anakichupa ya kupulizia.
Same inakupa ganzi, na unaweza piga show ya kibabe sana. Nae hujitapa kuwa anawanyorosha sana manzi.
Nikasema hii naijaribu nikamtese manzi angu, eee bwana eee. Ikanipa aibu tena.
Hadi sasa binafsi naona ni uongo tu. Yes, inakupa ganzi lakin mbona haina matokea.
Kifupi, kwangu hazijanipa matokeo.
Lakini, je madhara kwa watumiaji inakuaje huko mbeleni.
Wewe kama mdau wa hizi mbanga, uzoefu wako upoje?
Nyie manzi, mnachochote kwa dawa zenu pia?
Kwenye story anatoa sifa sana kuhusu hii kitu. Mim sikuwahi kuitumia kwanza hata pisi tu kuzipata ilikuwa shida 😂.
Mwaka 2022, kuna mwana nikakutana nae tena ananipa story za vitu unapaka kichwani kwa abdala. Kuwa unapiga show ya kufa mtu.
Nikasema hii ngoja nijaribu tena kwa manzi msumbufu. Iliishia kunipa aibu tu. Bora kubaki na fomu yangu.
Tena, mwaka jana nikakutana na mwamba anasema anakichupa ya kupulizia.
Same inakupa ganzi, na unaweza piga show ya kibabe sana. Nae hujitapa kuwa anawanyorosha sana manzi.
Nikasema hii naijaribu nikamtese manzi angu, eee bwana eee. Ikanipa aibu tena.
Hadi sasa binafsi naona ni uongo tu. Yes, inakupa ganzi lakin mbona haina matokea.
Kifupi, kwangu hazijanipa matokeo.
Lakini, je madhara kwa watumiaji inakuaje huko mbeleni.
Wewe kama mdau wa hizi mbanga, uzoefu wako upoje?
Nyie manzi, mnachochote kwa dawa zenu pia?