Experience ya dawa za nguvu za kiume

Twin Tower

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
4,907
Reaction score
7,123
Tukiwa chuo kuna mwana alikuwa anapenda sana kitu inaitwa "Njoinjoi" bila shaka nitakuwa sijakosea.

Kwenye story anatoa sifa sana kuhusu hii kitu. Mim sikuwahi kuitumia kwanza hata pisi tu kuzipata ilikuwa shida 😂.

Mwaka 2022, kuna mwana nikakutana nae tena ananipa story za vitu unapaka kichwani kwa abdala. Kuwa unapiga show ya kufa mtu.

Nikasema hii ngoja nijaribu tena kwa manzi msumbufu. Iliishia kunipa aibu tu. Bora kubaki na fomu yangu.

Tena, mwaka jana nikakutana na mwamba anasema anakichupa ya kupulizia.

Same inakupa ganzi, na unaweza piga show ya kibabe sana. Nae hujitapa kuwa anawanyorosha sana manzi.
Nikasema hii naijaribu nikamtese manzi angu, eee bwana eee. Ikanipa aibu tena.

Hadi sasa binafsi naona ni uongo tu. Yes, inakupa ganzi lakin mbona haina matokea.
Kifupi, kwangu hazijanipa matokeo.

Lakini, je madhara kwa watumiaji inakuaje huko mbeleni.

Wewe kama mdau wa hizi mbanga, uzoefu wako upoje?

Nyie manzi, mnachochote kwa dawa zenu pia?
 
Delay spray, zime tapakaa madukani kazicheki japo usikurupuke, alafu manzi kumnyoosha dunia ya Sasa ni pesa mkuu, demu ukiwa una solve matatizo yake anakuweka kwenye HISIA ata Tako tatu TU inamkojoza lakini ka we mwenyewe kalunguyeye, mtachokana tu
 
Duh! Yaani hata umri wa miaka 37 hujafikisha tayari umeanza kuhangaika na nguvu za kiume. Vipi ukifikisha miaka 45 utakuwa katk hali gani???

Acha utumwa huo, fanya mazoezi kula vzr ondoa stress. Hayo machips bloila yatawaua.
Hizo dawa zitakuharibu. Maana hadi sasainaonekana unakosa ujasiri kitandani bila kuwepo dawa.
 
Mazoezi
Maji kwa wingi
Shibe ya kueleweka
Vyakula vya asili
Mapumziko mazuri
Medulla oblongata isiyo na msongo wa mawazo mbalimbalu
 
Hakuna cha dawa, sijui viagra.

Mimi kila siku asubuhi nakunywa maji ya uvuguvugu. Kla siku napata punje 3 za Vitunguu Saumu na pia nakula chocolate mara kwa mara.

Na kwenye kupiga mzigo cha kwanza naunganisha. Inatokea mzigo.umeondoka baada ya masaa machache Kitimoto kasimama tena anataka tena!
 
Delay spray, zime tapakaa madukani kazicheki japo usikurupuke, alafu manzi kumnyoosha dunia ya Sasa ni pesa mkuu, demu ukiwa una solve matatizo yake anakuweka kwenye HISIA ata Tako tatu TU inamkojoza lakini ka we mwenyewe kalunguyeye, mtachokana tu
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂👍👍😂😂😂😂
 
Ni vema akapata ushauri wako
 
Dawa za kuongeza nguvu za kiume ni kwa ajili ya wenye shida ya sukari, umri mkubwa nk na sio kumkomesha mwanamke. Dawa hizo ni dawa kama dawa nyingine na sio kwa ajili ya burudani au kukomoana
 
Dawa za kuongeza nguvu za kiume ni kwa ajili ya wenye shida ya sukari, umri mkubwa nk na sio kumkomesha mwanamke. Dawa hizo ni dawa kama dawa nyingine na sio kwa ajili ya burudani au kukomoana
Nakubaliana na wewe kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…