Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,782
Kuazia ndani
Mfumo umeoza kuanzia chini
Mfumo umeoza kuanzia chini
Busara ninini? busara gani zilikuwa zitumike?Wapinzani hawakutumia busara kujitoa Wamekosea sana
Wafikirie kabla ya kufanya maamuzi ya pupa
Sitetei ujinga wa CCM, lkn hii audio ni Created wala hata huyo mama maongezi yake yanaonesha sio muhusika.Mwl Joyce alikua muandikisha Kitongoji cha Stooni Nyamongo, alimpigia wakala wa uandikishaji simu kimakosa akifiri amempigia wa CCM, alikua anaomba rushwa kwa wakala ambae baadae ndio alikua awe mgombea wa Kitongoji mwalimu Joyce alikuwa anasema ametumwa na msimamizi wa uchaguzi anaeitwa Henry eti kwa sababu wamefanikiwa kumuondoa mgombea wa CHADEMA kwa kumuandikisha mara mbili.