Mmh naweza kusema am happy with present relationship kwani hiyo ya past pamoja na kumwamini bado nilikuwa na mashaka nae but huyu sina nashaka nae japo si mda mrefu sana tangu niwe nae bt i trust him than ex. Sex sitaki kuizungumzia sana but alikuwa na kaubinafsi kakujiridhisha mwenyewe ht ukimwambia anapuuzia mara chache anasikiliza bt huyu tunaelewana he is the best.
Safi sana! mliamua vyema sana..
few questions..
ni nini unachoweza kukumbuka kwa boy wako wa kwanza compare na huyu aliyekuoa.
afu wa kwanza umemsifia sana ujue..
umesema alikuwa mtaratibu sana! hali kama hii huwa haifanyi umkumbuke?
Kitu ambacho kiukweli nakumbuka kwa huyu jamaa ni kweli alikuwa mstaarabu na aliniheshim na kuheshim mahusiano yetu...
Kwa miaka miwili nliyokuwa nae sikumbuki kama tuliwah kugombana na hakuwah kunionyesha dalili ya usaliti japo nlimbania papuchi
Yeah huwa namkumbuka sometimes kwa mazuri yake.
Ila hatukuwahi kuonana tena baada ya kuachana rasmi japo tulikubaliana kubakia kuwa marafiki.
mkikutana tena! what will u do to him at first? hug or just shake hands?
Hongera sana! sema umemtaja sitaweza kukuuliza baadhi ya maswali afu nkakuta nakuharibia..
then shansarie! uliwahi kumpa ex wako zawadi yoyote? au yeye aliwahi kukupa chochote kama zawadi? the thing which u have until now..
or kwa upande wake
Duh apo kwakweli alikuwa mgumu mno uwezi amini hata bday yangu alikuwa hakumbuki nakumbuka niliwahi kupata bday cake kubwa sana kutoka kwake na hapo ni tulipoanza mahusiano sina kitu cha kudumu kutoka kwake.binafsi nilikuwa nampa zawadi sina uhakika kama anazo bado
ni zawadi gani uliowahi kumpa mpaka leo una i appriciate? ukiikumbuka!!
why not hug?
ahaa! basi sawa!
swali la kizushi..mkikutana tena what will u do?
ha ha ha ha! now i can imagine hata papuchi unaweza ampa tena eti.
si inategemea tu reaction yenu ninyi wawili? as u said..
no! kwenye hili sikuungi mkono, unabad memory kwani alikubaka? si ulifuata dushelele mwenyewe? as u said earlier
teh teh teh!
haya..
kuna hii kauli. "....ya kale hayanuki". katika mahusiano we unaiamini?
au "old is gold!" au "hakuna awali mbovu". we unaziamini? ziko sahihi?
Ni kweli hakunibaka ila sikuenjoy kabisa hilo tendo zaid ya maumivu mwanzo mwisho ingawa nilifanya kwa ridhaa yangu.
Hata hivyo am married now nachukia kusalitiwa hivyo sipendi kusaliti pia.
Inawezekana kwa wengine yasinuke but as long as simkumbuki wala hanipi mzuka.kama niliyenae ananiridhisha kwann nikumbushie nae nitakuwa hayawani
ur married ndiyo point kubwa hapo..
na wewe niambie! hizi kauli. "old is gold", "....ya kale hayanuki" na "hakuna awali mbovu"..unazitafsirije katika upande wa mapenzi? are they applicable?