Exclusive: Ahadi hewa zilzotolewa kwa vigogo na wanachama wa chadema kabla ya kujiunga chaumma

Exclusive: Ahadi hewa zilzotolewa kwa vigogo na wanachama wa chadema kabla ya kujiunga chaumma

Kigodoro

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
1,665
Reaction score
1,685
ZIFUATAZO NI AHADI ZILIZOTOLEWA .
1. Kuna majimbo 50 na kata 1000 tumeahidiwa na ccm kwa tutapita bila shida yoyote.
2. Kila mgombea ubunge na udiwani atawezeshwa kifedha ktk kampeni.
3. Mbowe atahamia chaumma ili kuleta hamasa kubwa ndani ya chama hivyo kampeni kuwa rahisi.
4. Maelfu kwa maelfu ya wanachadema wako mbioni kuhamia chaumma.
5. Vijana na akina mama watakaounga mkono harakati za chaumma watapewa mikopo, bodaboda, basikeli, n.k

UTEKELEZAJI WA AHADI.
Hakuna hata ahadi moja iliyotekelezwa hadi sasa. Wagombea ubunge na udiwani wameanza kuhoji kwamba, mbona ccm wako serious sana hata kwenye kata/majimbo ambayo chaumma waliahidiwa kuwa watapewa?

NINI MATOKEO YA AHADI HEWA HIZI ?
Watu wote waliovutwa na ahadi hizi hewa wamebaini kuwa ni ulaghai na kwamba walidanganywa.

Ndiyo maana tumeanza kuona makundi ya watuna mtu mmoja mmoja wakitoka hadharani na kuikandia chaumma na kisha kuomba kurudi CHADEMA.
 
John mrema
Kigaila
Salum mwalim
Mchome
Devota
Hawa ni wachumia tumbo tu
Ipo siku watatuambia pesa walipewa na nani
 
Back
Top Bottom