Nitapewa na kifurushi cha Premium?Asalam wakuu
Mwenye kingamuzi cha AZAM na anahitaji DSTV tuwasiliane tubadilishane. DSTV yangu bado mpya ni 2 month tangu kimenunuliwa utapewa na dishi lake complete kabisa..
Karibuni sana
Dstv wana chanel za maana kuliko hata azam
Vifurushi sasa. Mimi ninacho hakijalipiwa kama mwaka hivi dstv ni nomaKing'amuzi cha dstv elf 80,while King'amuzi cha Azamtv 149,000/=
Wameshusha beiVifurushi sasa. Mimi ninacho hakijalipiwa kama mwaka hivi dstv ni noma
Kama Azam? Acha utani bwanaWameshusha bei
Cha bei ya juu kabisa ni 184,000 na bei ya chini ni 19,000 kama Azam
Kama hiyo DSTV ni EXPROLER njoo fasta!Asalam wakuu
Mwenye kingamuzi cha AZAM na anahitaji DSTV tuwasiliane tubadilishane. DSTV yangu bado mpya ni 2 month tangu kimenunuliwa utapewa na dishi lake complete kabisa..
Karibuni sana
Hakuna package inauzwa 19,000 Azam?Kama Azam? Acha utani bwana
Ipo ila dstv ili uone Chanel zote unalipia shingapi?Hakuna package inauzwa 19,000 Azam?
Utani gani sasa?
hahahahah kaka unaakili weweAsalam wakuu
Mwenye kingamuzi cha AZAM na anahitaji DSTV tuwasiliane tubadilishane. DSTV yangu bado mpya ni 2 month tangu kimenunuliwa utapewa na dishi lake complete kabisa..
Karibuni sana
Ipo ila dstv ili uone Chanel zote unalipia shingapi?