Liverpool_Jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2019
- 1,220
- 1,417
- Thread starter
- #321
AmenMr Riverpool katika ubora wake. Natumai uko powa mkuu, kitambo sana tangia enzi za Lady doctor
#YNWA
AmenMr Riverpool katika ubora wake. Natumai uko powa mkuu, kitambo sana tangia enzi za Lady doctor
Ni mama zetu..Wanawake was miaka hii kichwani ni 0
Hongereni..Mahaba tele kwako Bazazi kwa kumahaba na tungo za Bi. Matata.
Amen mkuu.Wanaume, tutumia kichwa kikubwa cha juu, cha chini huwa kinatudanganya sana.
We Mnyamwezi upo wapi wakati huu wa lockdown?Hata mimi ningekuwa wewe ningefanya hivyohivyo, urafiki unaweza usife iwapo eye atasisitiza ila hautakuwa wa karibu na mapenzi ndo kabisaaa hayatakuwepo.
Matata K.
brother business gani hiyo? watu tuko interested! we mwache apambane na ukewenza!Nilikutana nae ili nimpe wazo la Biashara "Awe mteja WANGU wa JUMLA wa DSM""Ila alivyoleta mambo ya KITANDANI..
Nimetemana nae..
#ASANTE
#YNWA
Ilo wazo nipe mimi😎Nilikutana nae ili nimpe wazo la Biashara "Awe mteja WANGU wa JUMLA wa DSM""Ila alivyoleta mambo ya KITANDANI..
Nimetemana nae..
#ASANTE
#YNWA
We Mnyamwezi upo wapi wakati huu wa lockdown?
Nakusalimia umepotea sana JF.
brother business gani hiyo? watu tuko interested! we mwache apambane na ukewenza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uliyoandika ni kweli huyo mwanamke achana naye kabisa...Iko hivi...
Mwaka 2013 nilimaliza Bachelor na kurudi Dar, nilikutana na mtoto mmoja mzuri hatari. Alionekana ana stress kiasi na mzee baba nikajikaza na kuomba namba. Nilivyompeleleza baadae nikagundua ni stress za kukosa ajira.
Baada ya wiki kadhaa nikamtongoza na safari ya mapenzi ikaanzia hapo. Alikuwa anakuja sana 'ghetto' mpaka nikamkabidhi funguo, akawa anakuja muda wowote atakao, mimi nikiwa job (niliajiriwa fasta sana baada tu ya kumaliza chuo).
Kwa malezi yangu niliyolelewa nikaona kulala na mtoto wa mtu ndani bila wazazi wake kujua alipo sio poa. Nikawaza nimletee wazo la ndoa, maana katika story zetu alikuwa akizungumzia sana "Mr. Liverpool utanioa lini au ndio unanit*mba tuu?"
Ila kabla ya ndoa nikawaza nimtafutie ajira ili tuingie ndani ya ndoa tukiwa wote tunaingiza kipato. Nilihustle sana kutuma applications kila ofisi nikisikia hata tetesi natuma. Mara Mungu bariki akapata serikalini.
Ikapita miezi 3 nikaona ndio wakati wa kuleta proposal ya ndoa. Nilivyoiwakilisha mbele yake jibu alilonijibu "Mimi nafikiri siwezi kuolewa na mkristo, huo ni ukafiri" Aisee! asikwambie mtu, lile jibu liliniuma sana tena sana. Nilivyomwambia tuoane kila mtu abakie na dini yake (ilikuwa tarehe 01/May), mara tarehe 20/May naona anapost Facebook picha za ndoa, tena na 'baharia' waliokutana ofisiniI kwenye kazi niliyomtafutia.
Dah! Yule dada aliniuma sana. Yaani kujitoa kote kule, leo haya ndio malipo yangu? Time heals na nikasahau..
Mwaka huu mwezi wa 9, mara namba ngeni ikaingia. Kupokea kumbe ni yeye. Tuliongea mengi ila alileta proposal anataka kurudi kwa kafiri. Kisa mumewe ameoa mke wa pili na yeye uke wenza hawezi. Nilichomjibu mimi ni "Pambana na hali yako, mimi siwezi kufanya hivyo". Yeye akasema "Basi hata uwe mchepuko wangu?" Mimi nikasema "Siwezi aisee kumzunguka mwana kwa nyuma japo yeye alinizunguka".
Juzi kati nikapata safari ya kwenda Dar, akaniomba tuonane. Tukakutana mitaa ya Uwanja wa Ndege. Aisee! Amekonda. Tako lote limeyeyuka. Shape yote imesepa. Yaani mpaka namuonea huruma.
Tuliongea sana na nikamuomba kuondoka. Aliendelea kuomba ila nilichomjibu "Siwezi kukusaidia kwa lolote". Japo namuonea huruma sana ila "Kila mtu avune alichopanda".
Ukipendwa, pendeka mtoto wa kike.
Wanaume, tutumia kichwa kikubwa cha juu, cha chini huwa kinatudanganya sana.
#ASANTE
#YNWA
Umesoma vizuri...Yupo sawa tu Kama ulikataa kufata din yake alikua sawa kwenda kuolewa na Mtu wa dini yake
Haya anayo yafanya Mara ya pili ndo makosa ila ile ya kwanza ni sawa kabisa
Sent using GunTrigger
Kilimo.brother business gani hiyo? watu tuko interested! we mwache apambane na ukewenza!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo.I
Ilo wazo nipe mimi[emoji41]
Yap.Kama uliyoandika ni kweli huyo mwanamke achana naye kabisa...
We kama Mimi Mkuu sijajua kwann baadhi ya wanawake hawana shukran kabisa, yan unaweza mnunulia Simu akatokea MTU akamsaidia chaja we akakusahau totallyKatika viumbe vyenye dharau na wenye kujisahau ni hawa watoto wakike ,pole kiongozi na shukuru mungu kwa kupona majiraha ...
Mimi nilishawahi kataliwa enzi hizo sina kitu akaja olewa na mtu ambaye kwa wakati huo alikuwa na vyuma(pesa) ila mambo hayakuchukuwa muda kwa upande wao kubadilika na kushuka chini na mimi kuja juu ,[emoji23] alijirudi ila huwa namwambia huwa sisahau ubaya mtu naonifanyia kama ilivyokuwa unaponifanyia jema [emoji23] haya maisha yaache tu kama yalivyo ,tujifunze kutokumaliza maneno
Baada ya kusoma comment yako na kuangalia avatars yako Huu wimbo umenijia kichwani...
Kuna wake wa kuchukulika sio huyo mkuu. Angemchukua angekua chizi kiwango cha SGRNakupongeza kwa kushinda jaribu la kuchukua mke wa mtu.
Kassie,
Huu wimbo ni nzuri sana mpaka nimesikia wivu jamani.
Tafuta ule ulio imbwa na Julio Iglesious. I hope you understand what am talking about.