Ex kaachwa Tena, wahuni tuna-pop Champagne 🥂

Ex kaachwa Tena, wahuni tuna-pop Champagne 🥂

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,114
Kuna mwanamke nilikuwa nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi Kwa mara ya Tatu, ndani ya miaka miwili. wacha tu_pop champagne 🍾
 
Kuna mwanamke nilikua nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango,, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi. wacha tu_pop champagne 🍾
ukiona hivi ujue bado unampenda

ukiachana na Mtu akaanza kumuombea mabaya ujue yeye ndio alikua Ana control iyo relationships kwa kifupi wewe ulikua mtumwa wake
 
Kuna mwanamke nilikuwa nampelekea Moto kitambo, ghafla akadai anaolewa, akaomba mchango, harusi kuubwa. Leo hii napata WhatsApp message kaachika, Jimbo lipo wazi Kwa mara ya Tatu, ndani ya miaka miwili. wacha tu_pop champagne 🍾
Kwa muda huu ambao anajipanga atakurudia kwa muda na kukuacha tena akipata mpenzi wa moyo wake na sio wewe boya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom