Ex amerudi kwangu

Ex amerudi kwangu

kumbukeni jamani upendo hautakabali leo kwangu kesho kwako. ulimpenda shetani kamuingia msaidie ili usaidiwe na wendine, ila usimpe papuchi mtariji tu yangu ni hayo
 
Habari Zenu wakubwa. Kuna kitu kimenitokea kama wiki mbili zilizopita nimekuja kwenu japo niondoe mawazo na maswali yangu.

Jambo lililonikuta ni kwamba niliachana na mpenzi ambae tulikaa kwenye mahusiano Kwa muda mrefu kidogo tulishindwa kufikia kwenye ndoa baada ya ndugu zake kuingilia mahusiano yetu na wakaamua kumshaur atafute mwanamke mwingine Kwa kua mimi nilishililia msimamo wa ndoa kabla ya Kuishi pamoja.

Sasa imepita miaka miwili bila mawasiliano na huyo mwanaume lakini cha ajabu ni kua hivi karibuni alinitafuta na alitaka tuonane akidai kuna jambo anataka tuzingumze,kibinadamu nilikubali tukapanga kuonana ilipofika siku ya Miadi nikampigia simu akaniambia nimfate maeneo ya Sinza basi nikafanya kama alivyotaka nilipofika nikakuta ameshabook room akaniomba sana niingie ndani tuzingumze nilikubali japo kishingo upande.

Baada ya kuingia room akaniomba tupeane mapenz nilikataa sana kufanya hicho kitu kwa kua sikua tayar kurudiana nae alizidi kunilazimisha hatimae nilikubali kufanya alivyotaka lakin ajabu ni kua haikupita dakika tatu maumbile yake yakasinyaa kabisa ikawa hawez kufanyae chochote nikaamua kuondoka
Baada ya kama siku tatu akanitafuta tena Ilibid niende maana kichwani nilikua namaswali mengi kuhusu hali niliyom
uona nayo.

Kweli tulikutana na hali ikawa ni ile ile maumbile yanasimama Kwa sekunde kadhaa halafu yanalala kama ya mtoto mdogo nikaamua kumuweka chin nimuulize tatizo limeanza lini hasemi analia tuu namuuliza Kwa mwanamke wake iko hivyo Hataki kusema kitu analia yupo kama kachanganyikiwa.
Sasa maswali najuiliza je huyu mwanaume Kapata ugonjwa gani.

Je ni kweli kuna wanaume hufanyiwa hivyo na wanawake Zao kama limbwata asitembee na wanawake wengine na kama kafanyiwa hivyo iweje anitafute mimi ambae hatujawasiliana Kwa muda mrefu

Akili pia inaniambia huyu jamaa amepata hili tatizo akiwa na huyo mwanamke na sasa ananitafuta Kwa kua kaona hana jipya

Naombeni ushauri nifanyaje nini na huyu mtu maana huruma ya kininadamu imenijia sasa hivi anaongea mwenyewe kama mtu aliechanganyikiwa na hana furaha na maisha
Aisee sisi waoaji kazi tunayo. Sasa bibie unaziniwa kirahisi namna hiyo halafu nakuja kukuoa mimi na huyo hakuoi.
 
Ila mtoa mada kama unatu enjoy hivi. Maana ulichokiandika si cha kawaida na binti mwenye kujielewa hafanyi haya.
 
Kweli hawala hana taraka mimwenyewe jana nimetunikiwa na mtu tulie pigana chini miezi 2 na badae aaanza kuposti picha za mpenzi wake ila mie sikusinyaa moto aliusikirizia naona sms asubuhi naomba unioweee raha ya mapenzi ya kuludiana moto uwake kwenye mapaja
 
Mrejesho nilioupata kutoka chanzo cha kuaminika ni kua jamaa amejaribu kujiua ndugu wamejaribu kumuokoa na sasa yupo hospitali
 
Habari Zenu wakubwa. Kuna kitu kimenitokea kama wiki mbili zilizopita nimekuja kwenu japo niondoe mawazo na maswali yangu.

Jambo lililonikuta ni kwamba niliachana na mpenzi ambae tulikaa kwenye mahusiano Kwa muda mrefu kidogo tulishindwa kufikia kwenye ndoa baada ya ndugu zake kuingilia mahusiano yetu na wakaamua kumshaur atafute mwanamke mwingine Kwa kua mimi nilishililia msimamo wa ndoa kabla ya Kuishi pamoja.

Sasa imepita miaka miwili bila mawasiliano na huyo mwanaume lakini cha ajabu ni kua hivi karibuni alinitafuta na alitaka tuonane akidai kuna jambo anataka tuzingumze,kibinadamu nilikubali tukapanga kuonana ilipofika siku ya Miadi nikampigia simu akaniambia nimfate maeneo ya Sinza basi nikafanya kama alivyotaka nilipofika nikakuta ameshabook room akaniomba sana niingie ndani tuzingumze nilikubali japo kishingo upande.

Baada ya kuingia room akaniomba tupeane mapenz nilikataa sana kufanya hicho kitu kwa kua sikua tayar kurudiana nae alizidi kunilazimisha hatimae nilikubali kufanya alivyotaka lakin ajabu ni kua haikupita dakika tatu maumbile yake yakasinyaa kabisa ikawa hawez kufanyae chochote nikaamua kuondoka
Baada ya kama siku tatu akanitafuta tena Ilibid niende maana kichwani nilikua namaswali mengi kuhusu hali niliyom
uona nayo.

Kweli tulikutana na hali ikawa ni ile ile maumbile yanasimama Kwa sekunde kadhaa halafu yanalala kama ya mtoto mdogo nikaamua kumuweka chin nimuulize tatizo limeanza lini hasemi analia tuu namuuliza Kwa mwanamke wake iko hivyo Hataki kusema kitu analia yupo kama kachanganyikiwa.
Sasa maswali najuiliza je huyu mwanaume Kapata ugonjwa gani.

Je ni kweli kuna wanaume hufanyiwa hivyo na wanawake Zao kama limbwata asitembee na wanawake wengine na kama kafanyiwa hivyo iweje anitafute mimi ambae hatujawasiliana Kwa muda mrefu

Akili pia inaniambia huyu jamaa amepata hili tatizo akiwa na huyo mwanamke na sasa ananitafuta Kwa kua kaona hana jipya

Naombeni ushauri nifanyaje nini na huyu mtu maana huruma ya kininadamu imenijia sasa hivi anaongea mwenyewe kama mtu aliechanganyikiwa na hana furaha na maisha
Jaribu kuchukuwa microphone yake uhutubie,,
kama ikiendelea kulala,,
Mpe khanga avae...hakuna dume hapo..
 
Nilikataa sana baadae nikakubali kishungo upande, nilikataa sana baadae nikakubali....haya maneno 'nilikataa sana' hayakuwa na ulazima wa kuwepo kwenye hii habari
Jibu ni moja tu nilikubali,
Ila wadada akili sijui wanaziweka wapi mtu hamjakutana zaidi ya miaka 2, halafu mtu ana kuomba mka du, na yeye anaenda tu kama ng'ombe wa machinjioni
 
Jibu ni moja tu nilikubali,
Ila wadada akili sijui wanaziweka wapi mtu hamjakutana zaidi ya miaka 2, halafu mtu ana kuomba mka du, na yeye anaenda tu kama ng'ombe wa machinjioni
Si ndio hapo, ila hapo sio wadada tu na mkaka yupo kwenye tukio
 
Hamna hata pa kushika
Duu,,basi hilo ni tatizo,,

Next time jaribu kumshika shika matako pengine charge zimehamia huko mkuu.

Wapo wanaume wengi sana wa hivyo..
Serious mkuu..

Yupo mrembo mmoja alinipa ushuhuda wa hilo.
 
Mwanamke nani aliwaloga jamani huu upumbavu wenu utawaisha lini hivi nyie viumbe mmeachana miaka miwili akakutafuta ukaitikia wito akabooking kabisa room ili mkaongee pamoja seriously na ww ukakubali kuingia chumbani kudiscuss ukaombwa mzigo ukakaza lkn mwishowe kishingo upande ukakubali

Ww ni miongoni mwa wanawake wajinga na wapumbavu kuwahi kutokea katika sayari hii ya dunia hujitambui wala kujielewa UMRI WAKO KWANZA .

Nyie ndo mnafanya dunia kuwa sio salama ya kuishi kuwa ujinga wenu
 
nimeamini kuendelea kuwasiliana na mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembea na mua jangwani, ukihisi kiu unautafuna

mi nakushauri hiyo huruma we endelea nayo
 
tulishindwa kufikia kwenye ndoa baada ya ndugu zake kuingilia mahusiano yetu na wakaamua kumshaur atafute mwanamke mwingine
Na huyo jamaa akaamua kuwasikiliza ndugu zake na kuamua kuachana na wewe? Ndugu wanaingilia maamuzi ya mapenzi ya watu?
 
Back
Top Bottom