Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Serikali kwa mara nyingine imevifungia vituo vinne vya mafuta jijini Dar es Salaam kuuza Petrol baada ya kukiuka bei elekezi zilizotolewa kwa madai kuwa ni ndogo. Vituo vilivyofungiwa ni GBP shekilango, Camel Oil Tabata, Camel Oil Mbagala na Gapco fire.
Pamoja na hatua hiyo, vituo vingine nane vimeonywa.
Pamoja na hatua hiyo, vituo vingine nane vimeonywa.