Jamani hivi hawa SUMATRA na chama cha walaji wanafanya kazi kweli?
Ukipanda kwenye magari yanayojiita luxury hamna ulaxury wowote,mikanda hamna, AC hamna, mavioo ya madirisha yanapiga makelele, na nauli ndo usiseme (especially Dar to Arusha)
On the other hand baadhi ya mabus na daladala seat ni mbovu bala kiasi unaweza kukatwa na vyuma,
Je wako kwa ajili ya kutetea maslahi ya abiria kweli?
Ukipanda kwenye magari yanayojiita luxury hamna ulaxury wowote,mikanda hamna, AC hamna, mavioo ya madirisha yanapiga makelele, na nauli ndo usiseme (especially Dar to Arusha)
On the other hand baadhi ya mabus na daladala seat ni mbovu bala kiasi unaweza kukatwa na vyuma,
Je wako kwa ajili ya kutetea maslahi ya abiria kweli?