Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Ikiwa zimebaki siku Tano twende kwenye mfungo ...halafu mtu ukavunja jungu kumbe funga haikubalikiwallah sikua najua je? Kuna namna yoyote naweza kufanya nikakubaliwa funga yangu kwa mujibu wa vitabu?