Everything goes wrong (naelekea nisipotaka kuelekea)

Yataisha wangu,siku zote wanaume tunapitia mengi,kikubwa tuliza mawazo mambo yatakaa vizuri tu,ulichelewa kuna sehem walitoa kazi ningekuunganisha ukapata hela ya kula ila ndo ivo deadline tayar,pole sisi wote tunapitia changamoto,uko mkoa gani lakin

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Pia nimeliwaza hili mama aliamua kumsaidia kulingana na uwezo na maono yake na akakiri kuwa chakula hakikuwa shida tena then akaamua kutupa Dawa. Akawaza aanze kwenda kwa kina mwamposa then anataka msaada gan mwingine??


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Shukrani mkuu mi Nipo dar
 
Please endelea na mapambano na kamwe usifikirie kujidhuru au kumdhuru mtu yeyote

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 


Umeandika atafute dawa pia amtumainie Mungu...
Which is which jamni ukiamini uchawi hata kupiga chafya utahisi kuna kitu...!
Nna rafiki angu alikua successful balaa..akaingiza mishe za waganga...ful kwenda kwa waganga...ss hv ukimtumia ten anakushuKuru balaa!
Kama unaamini mganga jikite huko..usimix na habari za Mungu..mayb itaweza kukusaidia ..usiww vuguvugu bora uwe moto au baridi!
 
Kuna matatizo hayatibiki kwa maombi....mpaka utumie dawa...kwa mfano Nuksi,mikosi kuchafuliwa nyota....mnaambiwa mkanyage mafuta sijui mambo ya upako Yale yote ni madawa.
Ukitumia dawa ukaendelea na kumuabudu mungu kwangu sioni ubaya wowote labda uanze kumtegemea mganga kwa kila kitu.
 


Kwahyo ww unaamini kwenye nuksi..?kutembelea nyota ya mwingine!!...kweli shetani katuweza
 
D
Kwahyo ww unaamini kwenye nuksi..?kutembelea nyota ya mwingine!!...kweli shetani katuweza
Kwa hiyo haumini kama uchawi upo?
Haumini kama unaweza kutegewa uchawi ukakudhuru.....hata katika dini zetu haya mambo yanafahamika sijui wewe imani yako ni ya aina gani...Ila endelea kuamini hivyo hivyo mkuu.
 
D

Kwa hiyo haumini kama uchawi upo?
Haumini kama unaweza kutegewa uchawi ukakudhuru.....hata katika dini zetu haya mambo yanafahamika sijui wewe imani yako ni ya aina gani...Ila endelea kuamini hivyo hivyo mkuu.


Mimi najua uchawi upo ila naamini hakuna mtu wa kunidhuru zaidi ya Mungu jamani....nikikupa mifano ya watu waloshiriki hizo nguv ss hv wako wap utachoka...!..mm sijawah ogopa uchawi au hata kuhofu kulogwa! Never!
Hivi hapa duniani kun mtu mwenye ngv zaidi ya Mungu? Kwamba atembelee sijui nyota sijui umepata nuksi?...kuna elimu zaidi kuhusu hayo masuala ya mikosi na nuksi .ukijikagua chanzo ni ww mwenyewe
 
Nahis kwangu imezid aisee kila ninachogusa kinaenda tofauti
Kwa kuwa wewe ni Mkristo, nenda kasome stori ya Yusufu yote kwenye kitabu cha Mwanzo, utajifunza juu ya mapito, uvumilivu na uaminifu wake kwa Mungu, utaona miaka mingapi alipita kwenye taabu, kama angekuwa mtu wa short cut asingefanikiwa. Pia usome habari za Daniel, utaona uaminifu wa Mungu kwa wanaomtumainia. Habari za hao niliokwambia utazisoma na kuzimaliza ndani ya siku moja tu.

Uwe mwaminifu kwa Mungu, muombe Mungu, atakuvusha.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D
Kwahyo ww unaamini kwenye nuksi..?kutembelea nyota ya mwingine!!...kweli shetani katuweza
Kwa hiyo haumini kama uchawi upo?
Haumini kama unaweza kutegewa uchawi ukakudhuru.....hata katika dini zetu haya mambo yanafahamika sijui wewe imani yako ni ya aina gani...Ila endelea kuamini hivyo hivyo mkuu.
Hakuna mwenye nguvu zaidi ya mungu Ila washirikina wanatumia uchawi kuwadhuru watu.
Kama unaamini uchawi upon basi sawa.
 


Kila kitu ni imani tu mkuu!
 
Mkuu kwa lolote unalopitia sasa jua hakuna hali inayodumu milele, ivo basi Mwenyezi Mungu wa wote wenye mwili mwingi wa rehema mfadhiri wetu akumulikie nuru ya uso wake,akujibu siku umuitayo,usikate tamaa maana Mungu wetu anashughulika sana na mambo yetu.....omba kwa imani Mungu ni wetu sote. Tunakuweka kwenye maombi Mungu akukumbuke....

am better here
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…