Iamvitalis04
Member
- Jul 20, 2019
- 38
- 48
- Thread starter
- #21
Yaani ulipokosea ni pale Ambapo uliamua kwenda kwa mganga yaani hawa jamaa ni waongo hawana jipya
Nikukuumbusha sio jambo la kurudia
Na kwa habari ya makanisa ni kweli kabisa makanisa ya uongo ni mengi ila yupo MUNGU wa kweli mwenye uwezo thabiti wa kubadilisha maisha yako
Yaani kama ulivyo pambana na kumtafuta mganga na solution ya maisha yako ndipo kwa formula Hiyo Hiyo mtafute MUNGU
Nina uhakika na hili juu ya maisha yangu MUNGU lazima akupiganie Hakika kama ukimtafuta kwa bidii kabisa
Nitajitahidi mkuu kadri nitakavyoweza