Everything goes wrong (naelekea nisipotaka kuelekea)

Ahsante kwa unayotamani yaendelee kua juu yangu na mungu akakubariki
Ukweli haupingiki, Ukweli maisha yote huushinda uongo, kuwa muwazi na nafsi yako,

Heshimu wanaokusaidia, Usiwabeze kwa kabila, rangi au dini zao, ukifanya hayo utafanikiwa,.. Mkuu
 
Kama mlikagua vitu vikawa fresh kisha ukapigiwa na jamaa yako akakwambia kuna kilichozingua, na pia ulimsalimia hakukuitikia pamoja na kukuongelea vibaya, iyo ni ishara kabisa ya kuwa kunawivu mkubwa alikuwa anakuonea wewe juu ya mafanikio yako na ndio sababu ya hayo uliyonayo sasa.
Pengine ni kweli kuna kitu kimefanyika juu ya hali yako ya sasa.
Ndugu hii dunia kuna magonjwa ya mwili na magonjwa ya roho pia, jitahidi kuswali na mtafute mtu anayejua tiba akusaidie na usitupe tena dawa maana ndio tiba yako kwa sasa na mambo yatarudi kuwa fresh kama zamani na pia shikamana na ibada sana maana ndio ulinzi wa kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikate tamaa hayo yataisha ni mambo ya muda tu. Mwenyewe hapa nilitimliwa kazi 2013, msoto niloupitia ni noma Bora hata wewe unapakukaa. Ilifika tym nkawa Kama nmedata Hadi mwenyewe najistukia.washkaj wote walinikataa wakidai mimi ni mwizi. 2017 Hali ilikua mbaya zaidi, mambo yalibadilika yenyewe tu. leo hali ngumu naiskia kwa watu ni mwendo wa Bata tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
umenikumbusha mbali nilipitia mayo mkubwa kipindi npo nyarwambu
 
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita asubuhi mapema sana tu niliinamisha kichwa chini mkononi nna chupa ya valuer nipo katika dimbwi kubwa la mawazo ghafla nikasikia sauti ikiinita''Flan Flan''Nikaiunua kichwa nikakutana na sura ya mwanamke ambaye namjua nikamuangalia kilevi yani kwa sura ya kuduwaa nikamuuliza umenijuaje wakati mi nlikuwa nimejiinamia akanimbia habari zako ninazo kwahiyo nilikufananisha ila nilipogundua kama ni wewe sikushangaa...
Ndugu niliyopitia mpk hapa nilipo ni story ambayo mimi mwenyewe muda mwengine nikiifikiria natamani kulia na kucheka pia bora wewe ila asikwambie mtu Msoto anaepitia mtu ambae hapo nyuma alikuwaa vizuri kichumi halafu akashuka tena ghafla ni mbaya sana wewe unasema unajisikia kudata mimi nilidata kabisa....

Kaka shetani ana nguvu sana hasa kwa watu wa aina yetu ambao kuna vitu tumebarikiwa ndio sehemu ambayo anapenda kuharibu kwahiyo ni lazima kushindana nae iwe kwa njia moto au ya baridi la kwanza inabidi ukubali binadamu sio kila mmoja atakutakia mema na pia uchawi upo.Kukutana na yule dada nahisi kama ulikuwa mwanzo wa kutoka shimoni nisidanye na mimi pia alinipeleka kwa mganga nashukuru mambo yalichange I do not regret sabab sijaiacha IMANI yangu mi sikubaliani na wewe jambo la kuacha kuendelea na dawa uchawi ni kama moto wa gas dawa yake kuuzima kabisa maana ukiupoza hauwezi kuzimika utawaka upya....
Kaa chini jitathmini wewe ndio unajijua vizuri maana sio kila anaepitia nyakati za masononeko kuna ushirikina ndani yake....
 
Kama mlikagua vitu vikawa fresh kisha ukapigiwa na jamaa yako akakwambia kuna kilichozingua, na pia ulimsalimia hakukuitikia pamoja na kukuongelea vibaya, iyo ni ishara kabisa ya kuwa kunawivu mkubwa alikuwa anakuonea wewe juu ya mafanikio yako na ndio sababu ya hayo uliyonayo sasa.
Pengine ni kweli kuna kitu kimefanyika juu ya hali yako ya sasa.
Ndugu hii dunia kuna magonjwa ya mwili na magonjwa ya roho pia, jitahidi kuswali na mtafute mtu anayejua tiba akusaidie na usitupe tena dawa maana ndio tiba yako kwa sasa na mambo yatarudi kuwa fresh kama zamani na pia shikamana na ibada sana maana ndio ulinzi wa kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kitengo nilichokua jamaa ndio yupo sasa ila mimi nipo sawa kabisa sina kinyongo nae ila jamaa hatak hata kuniona
 
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita asubuhi mapema sana tu niliinamisha kichwa chini mkononi nna chupa ya valuer nipo katika dimbwi kubwa la mawazo ghafla nikasikia sauti ikiinita''Flan Flan''Nikaiunua kichwa nikakutana na sura ya mwanamke ambaye namjua nikamuangalia kilevi yani kwa sura ya kuduwaa nikamuuliza umenijuaje wakati mi nlikuwa nimejiinamia akanimbia habari zako ninazo kwahiyo nilikufananisha ila nilipogundua kama ni wewe sikushangaa...
Ndugu niliyopitia mpk hapa nilipo ni story ambayo mimi mwenyewe muda mwengine nikiifikiria natamani kulia na kucheka pia bora wewe ila asikwambie mtu Msoto anaepitia mtu ambae hapo nyuma alikuwaa vizuri kichumi halafu akashuka tena ghafla ni mbaya sana wewe unasema unajisikia kudata mimi nilidata kabisa....

Kaka shetani ana nguvu sana hasa kwa watu wa aina yetu ambao kuna vitu tumebarikiwa ndio sehemu ambayo anapenda kuharibu kwahiyo ni lazima kushindana nae iwe kwa njia moto au ya baridi la kwanza inabidi ukubali binadamu sio kila mmoja atakutakia mema na pia uchawi upo.Kukutana na yule dada nahisi kama ulikuwa mwanzo wa kutoka shimoni nisidanye na mimi pia alinipeleka kwa mganga nashukuru mambo yalichange I do not regret sabab sijaiacha IMANI yangu mi sikubaliani na wewe jambo la kuacha kuendelea na dawa uchawi ni kama moto wa gas dawa yake kuuzima kabisa maana ukiupoza hauwezi kuzimika utawaka upya....
Kaa chini jitathmini wewe ndio unajijua vizuri maana sio kila anaepitia nyakati za masononeko kuna ushirikina ndani yake....

Sure bro
 
Wengi waliyokushauri wanapretend kama hakuna ushirikina au uchawi,nguvu za Giza hizo dalili na maelezo yako ni ushirikina umefanyiwa na wenzako uliyokuwa unafanya nao kazi,nyakati ngumu katika maisha zinatokea lakini hata binaadamu wanaweza kukufelisha kwa njia za kichawi.....Mimi binafsi nilipotoka hayo mambo ya kurogwa yapo ndiyo maana natofautiana na wachangiaji wengi humu.

Hiyo hali ya mambo kuharibika IPO sana hata hao wachungaji wanaenda kwa waganga kusafishwa nyota,kuoshwa kuondolewa nuksi na mikosi ambayo ukitupiwa utaangaika mpaka dunia inatanduka hakuna kitakachoongoka.....cha msingi Fanya ibada sana kisha tumia dawa kuondoa hivyo vitu vibaya mwilini kwako hata ulipoenda kwa mganga ungemaliza tiba ukaendelea na ibada maisha yako yote umtegemee mungu hata hizo dawa za mganga zinategemea nguvu ya mungu.

Unakuta muafrika kabisa eti haamini uchawi!!! Labda uwe hujarogwa ndiyo utakuwa unampa mtu ushauri kulingana na maisha yako....watu wanarogwa na kurogana asiye amini ushirikina kama upo huyo ni muongo....Mimi nimeshuhudia hivi vitu sana....kuna watu walikuwa wametupiwa misukule wametibiwa na waganga wamepona lakini hawajihusishi tena na waganga.
 
Back
Top Bottom