LAMBOFGOD
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 1,561
- 1,315
Kwa upande wa kanisa mkuu nenda pale nyuma ya stend ya mabasi(ubungo), kuna kituo kinaitwa emmaus center kuna wakarismatic watakusaidia kurejesha uhusiano wako na Mungu na yote yatapita na mambo yote yatakuwa sawa, hakuna malipo yeyote hapoShukrani mkuu nitajaribu kupitia pitia nitoke hata na chochote
Sent using Jamii Forums mobile app