Iamvitalis04
Member
- Jul 20, 2019
- 38
- 48
- Thread starter
-
- #21
Yaani ulipokosea ni pale Ambapo uliamua kwenda kwa mganga yaani hawa jamaa ni waongo hawana jipya
Nikukuumbusha sio jambo la kurudia
Na kwa habari ya makanisa ni kweli kabisa makanisa ya uongo ni mengi ila yupo MUNGU wa kweli mwenye uwezo thabiti wa kubadilisha maisha yako
Yaani kama ulivyo pambana na kumtafuta mganga na solution ya maisha yako ndipo kwa formula Hiyo Hiyo mtafute MUNGU
Nina uhakika na hili juu ya maisha yangu MUNGU lazima akupiganie Hakika kama ukimtafuta kwa bidii kabisa
Pole changamoto ni sehemu ya maisha ila pia usiwe na mawazo Sana kwamba umelogwa itakua hivyo kweli pia uwe na tabia ya kuomba Mungu wew mwenyew sio mpaka uombewe au uende kwenye makanisa ukiomba Mungu kwa bidii na kwa Imani atakusikia funga siku 3 maombi ya ester, maombi ya ester ni maombi ya kibali omba Mungu akupe kibali kwa watu uku ukiwa na Imani lazima atakufanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu anasikia kilio chako..dah pole sana mkuu
Husda ipo, Mitume nayo ilifanyiwa Husda, Josef, Isa aka Yesu, Muhammad wote walifanyiwa Husda na vijicho,..
Huyo mama alijaribu kusaidia bila ya kujali dini yako, sasa wewe hizo dawa ulizopewa zikusadie umezitupa,..
Sasa unataka usaidiwe nini? Umechanganyikiwa, Udini umekushika.,hujitambui,.. maisha yako yatakuwa hivyo hivyo.
Mungu ni wetu sote .kuu pole
yess BiShoo haswaaAaa
Jibu hapa unapishana na fursaPole sana Bro Unapiga picha za video au Mnato
Sent from my iPhone using JamiiForums
Pole sana Bro Unapiga picha za video au Mnato
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ushauri wangu. Hama kabisa eneo unalojulikana sana. Hama hata mkoa. Nenda kajichanganye kwingineko kabisa. Hiyo huwa inasaidia kupunguza nguvu za wabaya wako. Na utakapoenda badili pia aina ya kazi ulizokuwa ukifanya mwanzo. Pia muombe Mwenyezi Mungu atatakufungulia njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma stori yako ya maisha hakika machozi yamenitoka,yamenikumbusha kipindi ambacho nilikuwa sina wa kuomba msaada hata wa sh.200 nipate angalau kikombe Cha chai.
Haya maisha we yaache,kuna wengine tunapitia kipindi/nyakati ngumu sana Katika dunia hii.Lakini nyakati ngumu huwa hazidumu.
Nakushauri tafuta kitabu Cha Rorbet H Schuller~Tough times never last but tough people do"Hakika kitakupatia faraja na matumaini Katika kupambana.
Kwa upande wangu hiki kitabu kimenisaidia mengi lakini kikubwa kimenipa imani kuwa nyakati ngumu zinapita na watu imara wataendelea kuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app