Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,268
- 1,652
Hivi sisi waafrica zimo kweli? ujue mimi wakati mwingine huwa sielewi kama tuko sawa au ni laana inatusumbua,unaua mtu ili ushinde siasa, halafu hizo siasa zitakupeleka wapi maana ni kitu cha muda tu, hebu ccm acheni hizi tabia, tumieni elimu na busara kupima mambo, itafika wakati tukiwaona tunakimbia.