Evarist Chahali, hili limenitisha!

Siwezi kumzuwia mtu anayedhani nina-seek public sympathy au attention.Ninaheshimu uhuru wa mtu kuamini atakavyo.Lakini it doesn't take a genius kuelewa kuwa kama ni publicity basi hizo makala tu za Raia Mwema ambazo, japo sina figure sahihi za readership per week, zinatosha sana kukidhi haja ya publicity, if I were having any.I have over 2,000 followers on Twitter na Blog yangu ina visitors zaidi ya milioni moja (na kwa mujibu wa outerstats.com blog hiyo inatembelewa na wastani wa watu 38,440 kwa mwezi) ,and if that's not enough publicity,then the term publicity has another meaning (natambua utapinga kwa kulinganisha na watu wengine lakini kwa kuwa keyword hapa ni publicity,challenge me that SUCH stats hazitoshi kumridhisha mtu anayesaka publicity,though I'm not)

Sasa,naomba kukupa challenge.Unafahamu 'uongo' wangu,unajua jina langu,una namba ya simu na e-mail address ya kituo cha polisi kinachohusika na tukio hilo.Kwa vile huamini nilichoandika (and I don't have to repeat again kuwa that doesn't bother me at all), kuwa muungwana kwa kupiga simu kituo hicho cha polisi.Ukikumbana na kikwazo chochote kile, wasiliana nami kwa barua-pepe CHAHALI at ABOUTdotME (unaweza kupata email katika kila mwisho wa makala zangu ambazo zinapatikana HAPA ) and you won't have to use your real name if you don't want to.

Badala ya kuendeleza porojo,ifike mahala tufanye mambo kwa vitendo. Badala ya kung'ang'ania tu "tupe case number," why not contact the police first then usikie kama watakutaka uwapatie case number (and I'm sure they won't sio tu kwa vile case haikuhusu wewe lakini kuna waliopiga na kupatiwa details pasi kuulizwa case number). Ninaamini ukiwaeleza polisi husika kuwa unatumia Freedom of Information Act kutaka kujua ukweli wa tukio hilo,watakupatia unachohitaji.Ukishapata,please DO come here again.

And this challenge is not restricted to you only. Yeyote anayedhani anahitaji kufahamu ukweli, anaweza kutumia njia hiyo nyepesi.

Wanasema 'mtoto mpe mwanga amlee' nami sasa nimekuachia jukumu hilo la ku-prove stori hiyo right or wrong.Nitashukuru sana kama your reply to this post haitokuwa porojo zaidi bali facts you'll have got from the police.Ila sihitaji kuwa Sheikh Yahya kuyumkinisha kuwa hata kama polisi watakueleza exactly nilichoeleza,it might have to take more than a lifetime kukuaminisha,and unfortunately, there are more important things in life than convincing you,or anybody else, kuwa I'd be the last person kujichulia janga to achieve something I don't even know.

WAITING....

Notion kwamba mtu anaweza kutosheka na publicity kwa sababu ana a certain following inaonyesha how poor your fundaments of thinking are.

Umeshindwa kumaliza ulichoanzisha mwenyewe, na sasa unataka kukimbia kwa kisingizio cha "watu wenye busara wameniambia".

Word to the wise.

Do not start a fire you cannot control.
 
Notion kwamba mtu anaweza kutosheka na publicity kwa sababu ana a certain following inaonyesha how poor your fundaments of thinking are.

Umeshindwa kumaliza ulichoanzisha mwenyewe, na sasa unataka kukimbia kwa kisingizio cha "watu wenye busara wameniambia".

Word to the wise.

Do not start a fire you cannot control.

Gave you a simple challenge,and all you come up with is blah blah.You're just a hater,period.

Au hasira hizi ni kutokana na operesheni yenu kushindikana?
 
Gave you a simple challenge,and all you come up with is blah blah.You're just a hater,period.

Au hasira hizi ni kutokana na operesheni yenu kushindikana?

Mimi ndiye nimekupa simple challenge ku prove transparency unayojivika, umeshindwa.

Halafu unaendelea kuji contradict. Mara watu wenye busara wamekuambia thread haina tija kushiriki, mara unaendelea kushiriki. Huna maamuzi, like I said, your fundaments of thinking are poor. Hujijui unasimama wapi.

Kati yangu mimi niliyeonyesha your transparency bonafide is lacking na wewe uliyeanzisha ngoma ambayo umeshindwa kucheza mwenyewe, nani analeta blah blah hapa? Wewe mwenyewe umesema huna point wana nia ya ushawishi, if that is not blah blah, then what is?

"Operesheni yenu kushindikana" unaongelea operesheni gani? Mie nifanye operesheni umesikia daktari au muuza maneno kama wewe?

"Yenu" mimi na nani?

Stop flattering yourself by shooting in the dark. You will just expose some more of your ignorance.
 
Cha kwanza kukuuliza ni jina la mhusika wa tukio la anuani yake. Case number ni suala la kati ya polisi na mhusika, NA NINAKUHAKIKISHIA HAWATOKUULIZA KUHUSU HILO.wHY NOT TRY, MKUU, BADALA YA KU-ASSUME KUWA HUTOPATA INFO BILA CASE NUMBER?

Ok Mkuu. Kama case number imeshindikana, then no problem. lakini kwa kuwa this is a very serious allegation hebu tujadili kwa undani zaidi hili suala. Tuangalie jinsi polisi walivyo-react kwenye kesi nyingine kama ya kwako. Mfano mzuri ni zile kesi za wale Wanyarwanda wanaoishi huko London waliodaiwa kuwa kulikuwa na mpango maalum wa kuwa-assassinate.

Polisi waliwaonya kuwa kulikuwa na "imminent threat" ya kuwa assassinated na serikali ya Rwanda mara baada tuu baada ya Mnyarwanda mmoja kuzuiliwa kuingia Uingereza.

Walifahamishwa kivipi? Polisi waliwaandikia barua za kuwashauri kuchukua tahadhari zaidi kwa usalama wao na familia zao. Pia nafikiri polisi waliwatembelea wanapoishi na kuwapa information zaidi ya hiyo attempted plot.

Sehemu ya barua waliozoandikiwa ilizomeka ""Reliable intelligence states that the Rwandan government poses an imminent threat to your life…..The threat could come in any form. You should be aware of other high-profile cases where action such as this has been conducted in the past. Conventional and unconventional means have been used.": Rwandan exiles warned of assassination threat by London police | World news | The Guardian

Baada ya kuwataarifu wahusika, polisi hawakuishia hapo tuu. MI5 ilimpa warning balozi wa Rwanda nchini Uingereza kuwa waachane kabisa na huo mpango: http://www.independent.co.uk/news/u...-stop-harassing-dissidents-in-uk-2276425.html

Polisi pia walisambaza habari kwa vyombo vya habari kama hivyo hapo juu na vingine kama: Rwandan hit squad

Baada ya hapo vyombo vya habari vikiwemo BBC Focus on Africa viliwahoji hao Wanyarwanda: BBC News - Rwandan exiles in London 'threatened by hitman'

Naomba kurudia tena kuwa this allegation is extremely serious. Na kama unachosema ni kweli, then you have to take it extremely serious and professionally.

Kwa mujibu ya maelezo yako, umesema kuwa polisi walikugongea usiku wa manane na kukupa hiyo taarifa. Kwa nini walikujia usiku wa manane? Was there an "imminent threat" iliyofanya wakujie siku. Did they tell you the nature of the threat?

Kuna kitu kingine kama unaweza kufafanua kidogo. Umesema hao polisi waliokugongea usiku walikuwa wamevalia nguo za kiraia na walikuwambia kuwa wao walikuwa tuu wamepewa ujumbe kutoka moja ya taasisi za intelijensia Ungereza kuwa kuna tishio la uhakika dhidi ya maisha yako. Kama hao polisi walikuwa wanakuja kufikisha ujumbe tuu kwani walikuja na nguo za kiraia?

"Tishio la uhakika" nimelichukulia as "an imminent threat" kama lile la Wanyarwanda. Lakini Mkuu nashindwa kuelewa hao polisi wanafanyaje kazi au walikuwa serious na hilo tishio la uhakika lilokuwa linakukabili? Uliposema walikuja usiku wa manane, implies that you were subject to an imminent threat.

Kama ni hivyo, nashindwa kuelewa kwa nini then walikuja usiku wa manene kukueleza tuu hayo kwa vile wao walipewa tu ujumbe huo na kutakiwa kuuwasilisha kwako na hawakuwa na maelezo yaziada? Si wangesubiri tuu mpaka asubuhi ndiyo waje kuwakilisha huo ujumbe waliotumwa?

Pamoja na kukufahamisha orally kuwa you were subject to an imminent threat, wameyaweka hayo madai yao kimaandisshi? Wamekutumia barua kama walivyowatumia hao hao Wanyarwanda?

Apart from these, wamechukua hatua nyingine zaidi kuhakikisha usalama wako kwa sasa na hapo baadae dhidi ya wahusika? Has anyone been arrested or refused entry to the United Kingdom after being identified as posing an imminent threat to you?

Kwa vile unadai this was an imminent threat, polisi wameshamtaarifu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza kuwa aiambie serikali yake iachane kabisa na haya mambo? Baada ya kufahamishwa, response ya Balozi ilikuwaje?

Finally, suala lako lina uhusiano wowote na huyu kwenye hii habari inayodai kuwa "His home in Tanzania has been burgled three times in recent months, and Tanzanian officials have interrogated his elderly parents about their right to be Tanzanian citizens; officials said their son was under scrutiny for selling secrets to European powers and should be more ‘humble'." http://africanarguments.org/2013/02...-manipulation-and-hypocrisy-–-by-edward-clay/
 
Mkuu nimeisoma hiyo makala, nilichogundua ni kwamba huyu Bwana anajua maadui zake wanamuwinda ni kina nani na wanafanya hivyo kwa sababu gani. Inalelekea kuna mambo mengi anayajua ambayo wanaomtafuta kumtoa roho wana wasiwasi akiyaweka hadharani watabaki watupu. Lakini amenifurahisha aliposema;"Kwa bahati nzuri, watu hao wanafahamu fika kuwa nina ujuzi wa kutosha na kuelewa na kumudu fika mbinu za kuishi kwa tahadhari".

Ninashawishika kuamini kwamba huyu Bwana ni ex-system kama mchangiaji mmoja alivyosema.

Tiba
Huyu bwana alikuwa usalama ambaye yuko masomoni uskochi miaka mingi tu nafikiri kaamua kuishi huko
 
Ubwabwa maharage mtamu sana ndio maana sitaki kujihusisha na haya masuala wajameni nisije ishia kula dona na chumvi.
 
afu asisahau na uteuzi wa kishkaji unaondekeza udini,ukabila au ushenga badala ya weredi napita tu kinamna...................
 
Chahali ana kiherehere sana..anajifanya mjuaji sana..yulo uskochi lakini kutwa anawashwa na mambo ya Tanzania..kura yenyewe hapigi ...kazamia huko miaka mpaka juzi kafa baba yake kashindwa kuja kumzika alivyokiwa ----- huyu mtu
 
Mimi ndiye nimekupa simple challenge ku prove transparency unayojivika, umeshindwa.

Halafu unaendelea kuji contradict. Mara watu wenye busara wamekuambia thread haina tija kushiriki, mara unaendelea kushiriki. Huna maamuzi, like I said, your fundaments of thinking are poor. Hujijui unasimama wapi.

Kati yangu mimi niliyeonyesha your transparency bonafide is lacking na wewe uliyeanzisha ngoma ambayo umeshindwa kucheza mwenyewe, nani analeta blah blah hapa? Wewe mwenyewe umesema huna point wana nia ya ushawishi, if that is not blah blah, then what is?

"Operesheni yenu kushindikana" unaongelea operesheni gani? Mie nifanye operesheni umesikia daktari au muuza maneno kama wewe?

"Yenu" mimi na nani?

Stop flattering yourself by shooting in the dark. You will just expose some more of your ignorance.

Jibu swali mbwa koko wewe,hasira hiyo ni kushindwa kwa operesheni yenu?
 
Chahali ana kiherehere sana..anajifanya mjuaji sana..yulo uskochi lakini kutwa anawashwa na mambo ya Tanzania..kura yenyewe hapigi ...kazamia huko miaka mpaka juzi kafa baba yake kashindwa kuja kumzika alivyokiwa ----- huyu mtu

Wewe mpumbavu kweli shenz taipu,ulitaka aje kumzika baba yake ili mpate chance ya kumuua? Atarudi nyumbani Lowassa akiingia ikulu,wauaji wakubwa nyie mnatumika vibaya,so far mliomo humu JF tunawajua vyema ukiwepo wewe na kiranga na GENTAMYCINE,wajinga sana nyie and your days are numbered.
 
Chahali ana kiherehere sana..anajifanya mjuaji sana..yulo uskochi lakini kutwa anawashwa na mambo ya Tanzania..kura yenyewe hapigi ...kazamia huko miaka mpaka juzi kafa baba yake kashindwa kuja kumzika alivyokiwa ----- huyu mtu

Alikuwa bbcswahihili jana
 
Ni ndugu na Dina Chahali wa CH10???
JF kiboko sana ....safi !
Kuna darasa kubwa kwake na wengine wa design yake wenye cv za viapo .....tusipende kuleta dharau za kizamani (dstv kwa mmoja unasema kesho Mohamed Ally atashinda kumbe ushaona kwako usiku wake).
 
Chahali ana kiherehere sana..anajifanya mjuaji sana..yulo uskochi lakini kutwa anawashwa na mambo ya Tanzania..kura yenyewe hapigi ...kazamia huko miaka mpaka juzi kafa baba yake kashindwa kuja kumzika alivyokiwa ----- huyu mtu
Umenichekesha sana,japo ni post uliiandika zaman hii ila it make sense kwakweli
 
Back
Top Bottom