Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
YouTube - ‪Evans Bukuku s Comedy Club (Michuzi Blog)‬‏
Sijawahi kuhudhulia show yake zaidi ya kuangalia kwenye mtandao, naweza kusema ni wazo zuri sana alilokuja nalo Evans kwa kuanzisha kitu hiki hapa Tanzania , ila kuna tatizo moja, nalo ni kwamba Lugha anayotumia inapoteza maana kabisa ya kile anachoongea, najiuliza kwanini asitumie lugha Mama ya kiswahili ikiwa walengwa ni watanzania?
Sijawahi kuhudhulia show yake zaidi ya kuangalia kwenye mtandao, naweza kusema ni wazo zuri sana alilokuja nalo Evans kwa kuanzisha kitu hiki hapa Tanzania , ila kuna tatizo moja, nalo ni kwamba Lugha anayotumia inapoteza maana kabisa ya kile anachoongea, najiuliza kwanini asitumie lugha Mama ya kiswahili ikiwa walengwa ni watanzania?